TP Mazembe vs Simba Sports Club

Tbc wababaishaji kama Tanesco wiki nzima wametutangazia kurusha mechi,Hili Linchi ovyo sana kila sehemu ubabaishaji tu.Et Matatizo ya Mitambo!!Ngoja nikawacheki The Blues mie nsijitengenezee BP.
 
Wakuu mbona TBC imekata tena vipi? mnaoona julisha mambo ngapi ngapi?
 
ekanga mkameruni alifunga goli la pili ... na kalioko akafunga ala ttatu
okwi alifunga goli moja la sima na mechi imeshaisha
 
Chance ipo.. Hilo goli la ugenini lina thamani sana ..

There's just too big a gulf in quality between the 2 sides, plus the better side was not at its usual best self today...let's face it!
 
Kazi ipo leoo nikiangalia juu naona wivu upande wa tmk lisije haribu mpira bure ukalala.....
 
Wakati naota usiku Simba ilikuwa mbele kwa bao 2 kwa 0 sasa tatizo umeme ukakata ghafla..AC ikafa...(mh!!!! AC wapi usawa huu...feni bana..)..joto likaongezeka nikashtuka usingizini...nikaamka kabla ya mechi kwisha..sasa mlioangalia mpaka mwisho vipi????
 
Mhh jamani kwani mechi imeenza saa ngapi??? Mi nasikiliza Radio One walisema watatangaza mpira kuanzia saa tisa??
 
Back
Top Bottom