nitakuwa jukwaa langu la kila siku la simba pale,tukiwapa nguvu ya kutosha TP mazembe
Mgeni wa HeshimaMimi mzalendo ila kwa mneno ya Muro
Yanga bora ipingwe
Hujipendi weweKesho ndio siku ya kuutumia MKANDA MWEUSI ''black belt'' yangu niliochukua nchini Polland. Navaa jezi ya TP Mazembe na kukaa jukwaa la Yanga, ole wake mtu aniguse
Mkuu uko huru kufanya chochote. Fahamu kuwa mlangoni hutaingia ukiwa na jezi ya TP Mazembe. Vaeni jezi za Yanga muingie kisha mvue na kuvaa za hao TP Mazembe, kesho tunawafunga TP Mazembe pamoja na mikia fc concurrently.Leo Jerry Muro kaomba msamaha kwa kitendo cha mashabiki wa Yanga kuishangilia Mazembe mwaka ule walivyocheza na Simba. Too late Muro, kesho tunakuja kuzomea mwanzo mwisho.
Nakala kwa;
Makoye Matale
na wengineo wote
Kesho ndio siku ya kuutumia MKANDA MWEUSI ''black belt'' yangu niliochukua nchini Polland. Navaa jezi ya TP Mazembe na kukaa jukwaa la Yanga, ole wake mtu aniguse
Mbona mwarabu hakufungwa na hao wazee wa uturukiKumbukeni mtawatia gundu wenzenu tp kwani kila timu mtakayoishangilia inafungwa sawa ishangilieni tu kwani yanga tutaona kama tunacheza na simba mnajua tena nini kitatokea
Kwani simba mlikwenda kuwashangili ndio maana wakashinda nyie mnagundu mkishangilia tu wanafungwaMbona mwarabu hakufungwa na hao wazee wa uturuki
Kesho Mungu akipenda pale uwanja wa Taifa, Yanga na TP Mazembe watakipiga. Inashauriwa sana watanzania wote tuweke uzalendo mbele eti Yanga inawakilisha nchi.
Hakuna kitu kama hicho, Yanga inawakilisha Yanga. Nipo huru kuwa timu yeyote na nitakuwa TP Mazembe na wenzangu tunaokerwa na Yanga. Tayari nimesha-bet Yanga itapigwa 0-2.
Sababu zipo nyingi lakini kubwa ni kwamba Yanga wanadharau sana na wamejaa majivuno kwa club za ndani.
Msemaji wao amekuwa akirusha kashfa na matusi kwa kila aliye mbele yake mwenye mawazo kinzani. Kwa kuwa Yanga haijawahi kumchukulia hatua naamini wanamtuma kufanya hayo madudu. Juzi kwa kejeli alitutaka mashabiki wa Simba tuipe sapoti Yanga, lakini akaongeza tusipoipa watatushusha daraja msimu ujao.Hizi ni kauli za Ujuha na upumbavu uliokidhiri.
TP Mazembe tupo pamoja na nyinyi kwa hali na mali hapo kesho
Simba wana frustration kwani wana mwaka wa nne hawajapata kombe wala kushiriki mashindano ya kimataifa wamechanganyikiwa,Mikia kazi yao itakuwa kuhamahama Kama machangu
Riadha.?????????? Umechemka, wanariadha wetu wamezoea kukimbilia magari ya mbagala pale makumbusho,Tanzania hatuwezi mpira period, sisi tunaweza michezo kama riadha na ngumi pekee. Tunapoteza muda mwingi na fedha kwa kitu tusichokiweza.