TP Mazembe tupo pamoja na nyinyi kwa hali na mali hapo kesho

Hakunaga kitu kinaitwa uzalendo kwa wapinzani wa jadi kokote duniani.

Sitakwenda uwanjani, lakini kama mpinzani wa jadi naunga mkono TP Mazembe.
 
nitakuwa jukwaa langu la kila siku la simba pale,tukiwapa nguvu ya kutosha TP mazembe
f5bac46c479cacbfe210d29182b11900.jpg
 
Leo Jerry Muro kaomba msamaha kwa kitendo cha mashabiki wa Yanga kuishangilia Mazembe mwaka ule walivyocheza na Simba. Too late Muro, kesho tunakuja kuzomea mwanzo mwisho.

Nakala kwa;
Makoye Matale
na wengineo wote
Mkuu uko huru kufanya chochote. Fahamu kuwa mlangoni hutaingia ukiwa na jezi ya TP Mazembe. Vaeni jezi za Yanga muingie kisha mvue na kuvaa za hao TP Mazembe, kesho tunawafunga TP Mazembe pamoja na mikia fc concurrently.
 
Kumbukeni mtawatia gundu wenzenu tp kwani kila timu mtakayoishangilia inafungwa sawa ishangilieni tu kwani yanga tutaona kama tunacheza na simba mnajua tena nini kitatokea
 
Kumbukeni mtawatia gundu wenzenu tp kwani kila timu mtakayoishangilia inafungwa sawa ishangilieni tu kwani yanga tutaona kama tunacheza na simba mnajua tena nini kitatokea
Mbona mwarabu hakufungwa na hao wazee wa uturuki
 
haki ya nani tena ukisoma hizo posts za humu ndani unaweza ukadhani ushindi wa Tp Mazembe utawaondolea Simbs matatizo yao yote.
 
Kesho Mungu akipenda pale uwanja wa Taifa, Yanga na TP Mazembe watakipiga. Inashauriwa sana watanzania wote tuweke uzalendo mbele eti Yanga inawakilisha nchi.
Hakuna kitu kama hicho, Yanga inawakilisha Yanga. Nipo huru kuwa timu yeyote na nitakuwa TP Mazembe na wenzangu tunaokerwa na Yanga. Tayari nimesha-bet Yanga itapigwa 0-2.
Sababu zipo nyingi lakini kubwa ni kwamba Yanga wanadharau sana na wamejaa majivuno kwa club za ndani.
Msemaji wao amekuwa akirusha kashfa na matusi kwa kila aliye mbele yake mwenye mawazo kinzani. Kwa kuwa Yanga haijawahi kumchukulia hatua naamini wanamtuma kufanya hayo madudu. Juzi kwa kejeli alitutaka mashabiki wa Simba tuipe sapoti Yanga, lakini akaongeza tusipoipa watatushusha daraja msimu ujao.Hizi ni kauli za Ujuha na upumbavu uliokidhiri.
TP Mazembe tupo pamoja na nyinyi kwa hali na mali hapo kesho


Yanga ifungwe tu hata 7 - 0, who the hell cares? Hamna cha maana wakifanyacho Zaidi ya uchawi.
 
Mazembe timu piga Yanga wanaojiwakilisha wenyewe maana msemaji wao anadai ni kubwa kuliko CAF na mji utulie tuishi Kwa amani .AMINA # timu AZAM
 
Masikini Simba Ooops Paka, kila mara mnaneng'eneka na timu za watu. Mngekuwa nyie leo ndio mnacheza na TP - Mazembe, ila ndio siyo nyie ni sisi Yanga.
Tanajua mnatamani msijali, tushawalipia, mnajua kulipiwa eeh basi mje kwa wingiiiiii

#teamyangaforever#
 
Tanzania hatuwezi mpira period, sisi tunaweza michezo kama riadha na ngumi pekee. Tunapoteza muda mwingi na fedha kwa kitu tusichokiweza.
Riadha.?????????? Umechemka, wanariadha wetu wamezoea kukimbilia magari ya mbagala pale makumbusho,

Marathon utashangaa na roho yako, "Lugumi is nasing"~~~Lema
 
Back
Top Bottom