MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,734
1. Nimefungwa na Timu Bora mwenzangu na ambaye ameshakuwa Bingwa wa CAF CL mara Tano tofauti na Zanaco FC au Rivers United FC.
2. Nimefungwa na Timu yenye Uzoefu mkubwa wa Kimpira kuliko Zanaco FC au Rivers United FC.
3. Nimefungwa na moja ya Timu si tu Kubwa bali ni Tajiri pia barani Afrika tofauti na Zanaco FC au Rivers United FC.
4. Nimefungwa na Wachezaji Professionals kweli kweli na Waliokuzwa vyema Kisoka kutoka Academies mbalimbali Barani Afrika tofauti na Zanaco FC au Rivers United FC.
5. Nimefungwa Goli dakika ya 84 baada ya kuwapa wakati mgumu mno Wapinzani tofauti na wengine walivyofungwa mapema na Zanaco FC na walivyofungwa Nje Ndani na Rivers United FC.
6. Nimefungwa na Timu ambayo pamoja na Kunifunga huko ila mpaka muda huu Mightier naandika Uzi Wachezaji wa TP Mazembe wamelala na Viatu kwa Kuchoka tofauti na wa Zanaco FC au Rivers United FC ambao baada ya Ushindi wao Wachezaji wao wote walienda Disco Kuruka Majoka na wengine kucheza Draft na Pool Table.
7. Nimefungwa na Timu ambayo Yenyewe pamoja na Mimi Simba SC tuna Heshima Kubwa mno CAF hasa Champions League ( CL ) na ndiyo kwa pamoja tupo katika Timu Kumi ( 10 ) Kubwa ( Bora ) ambazo hajiaanza hatua za Awali Kucheza CAF CL kama ilivyo kwa Zanaco FC au Rivers United FC.
Nikikutana au nikisikia kuna mwana Simba SC yoyote amechukizwa na Kufungwa na TP Mazembe katika Simba Day leo kwa Mkapa si tu kwamba nitamdharau bali nitamuona ni Mpumbavu mno.
Nina uhakika Simba SC hata Kesho ikiomba Kucheza mechi za Kirafiki na Zanaco FC na Rivers United FC itazifunga zote Goli zaidi ya Tatu ( 3 ) ila kuna Timu nina uhakika ikijipendekeza tu kuomba Mechi ya Kirafiki na TP Mazembe kwa Mpira mkubwa wa TP Mazembe goli chache ambazo Timu hiyo itafungwa kwa Soka lake bovu bovu ni Kumi na Saba ( 17 )
2. Nimefungwa na Timu yenye Uzoefu mkubwa wa Kimpira kuliko Zanaco FC au Rivers United FC.
3. Nimefungwa na moja ya Timu si tu Kubwa bali ni Tajiri pia barani Afrika tofauti na Zanaco FC au Rivers United FC.
4. Nimefungwa na Wachezaji Professionals kweli kweli na Waliokuzwa vyema Kisoka kutoka Academies mbalimbali Barani Afrika tofauti na Zanaco FC au Rivers United FC.
5. Nimefungwa Goli dakika ya 84 baada ya kuwapa wakati mgumu mno Wapinzani tofauti na wengine walivyofungwa mapema na Zanaco FC na walivyofungwa Nje Ndani na Rivers United FC.
6. Nimefungwa na Timu ambayo pamoja na Kunifunga huko ila mpaka muda huu Mightier naandika Uzi Wachezaji wa TP Mazembe wamelala na Viatu kwa Kuchoka tofauti na wa Zanaco FC au Rivers United FC ambao baada ya Ushindi wao Wachezaji wao wote walienda Disco Kuruka Majoka na wengine kucheza Draft na Pool Table.
7. Nimefungwa na Timu ambayo Yenyewe pamoja na Mimi Simba SC tuna Heshima Kubwa mno CAF hasa Champions League ( CL ) na ndiyo kwa pamoja tupo katika Timu Kumi ( 10 ) Kubwa ( Bora ) ambazo hajiaanza hatua za Awali Kucheza CAF CL kama ilivyo kwa Zanaco FC au Rivers United FC.
Nikikutana au nikisikia kuna mwana Simba SC yoyote amechukizwa na Kufungwa na TP Mazembe katika Simba Day leo kwa Mkapa si tu kwamba nitamdharau bali nitamuona ni Mpumbavu mno.
Nina uhakika Simba SC hata Kesho ikiomba Kucheza mechi za Kirafiki na Zanaco FC na Rivers United FC itazifunga zote Goli zaidi ya Tatu ( 3 ) ila kuna Timu nina uhakika ikijipendekeza tu kuomba Mechi ya Kirafiki na TP Mazembe kwa Mpira mkubwa wa TP Mazembe goli chache ambazo Timu hiyo itafungwa kwa Soka lake bovu bovu ni Kumi na Saba ( 17 )