GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,606
- 108,979
Naomba mwenye kujua Mechi ya Real Bamako FC na TP Mazembe FC ni Saa ngapi anitaarifu tafadhali.
Nitakuwa na Mzuka wa Kuiangalia Mechi ya Yanga FC na Monastir pale tu nikisikia TP Mazembe FC ameshinda huko nchini Mali.
Kwa wenye Akili tunajua kuwa endapo TP Mazembe itafungwa na Real Bamako FC tayari automatically Yanga SC itakuwa imeshafuzu Robo Fainali kwani hata kama Yanga SC watafungwa na Monastir FC Jijini Dar es Salaam itakuwa imeshafuzu.
Nawatakia Monastir FC kila la Kheri.
Nitakuwa na Mzuka wa Kuiangalia Mechi ya Yanga FC na Monastir pale tu nikisikia TP Mazembe FC ameshinda huko nchini Mali.
Kwa wenye Akili tunajua kuwa endapo TP Mazembe itafungwa na Real Bamako FC tayari automatically Yanga SC itakuwa imeshafuzu Robo Fainali kwani hata kama Yanga SC watafungwa na Monastir FC Jijini Dar es Salaam itakuwa imeshafuzu.
Nawatakia Monastir FC kila la Kheri.