Tozo zimehamia kwenye Ma-Benki

Tozo zimehamia kwenye Ma-Benki

Ajab mpk viongozi wenyewe wanalalamika [emoji849]
IMG-20220812-WA0031.jpg
 
Nchi imekuwa ya hovyo sana hii, unakatwa kodi za serikali (paye), ukiwekewa pesa Bank unakatwa tozo, ukituma kwa mama huko kijijini akitoa akatwe kodi na tozo, ukinunua umeme ukatwe majengo, ukinunua vocha ukatwe tozo, bado hujaenda dukani ukalimwe vat katika manunuzi yako.

It's likely kwamba 40% ya kipato kinarudi serikalini kwa kodi+tozo zao.

Serikali ya hovyo sana hii, unless unakaa kwa mama/baba, shemeji/wifi na unakula bure huwezi kuelewa. Wanafanya maisha kuwa magumu kwa mtu wa kawaida, idiots!!
 
Kuna la kujifunza katika haya yote...Tozo+Kodi zimekuwa nyingi sanaaa. Hatujui tukilala leo tutakapoamka kesho kutakuwa na tozo ipi tena?
Mungu atusaidie tupate viongozi wazalendo kwenye taifa hili
 
Muajiriwa analipa direct na indirect tax zifuatazo, pamoja na makato mengine

PAYE
BIMA
PENSION FUND
HESLB
Chama cha wafanyakazi
Tozo za Mitandao ya Simu
Kodi ya nyumba ya Kupanga kwenye Luku
Na zingine nilizosahau


Halafu mmeleta na hii dah
IMG_3366.jpg
 
Makato yaliyopo ni wizi mtupu mkuu wengi wametoa pesa bank wanaangalia njia nyingine ya kutunza fedha..hela inakatwa mzee hatari
Njia ipi mzee baba!!!

Wasisahau risk nyenginezo. Kuna vibaka wanaiba kwa kiinimacho siku hizi. Mbali na majanga mengineyo.
 
Njia ipi mzee baba!!!

Wasisahau risk nyenginezo. Kuna vibaka wanaiba kwa kiinimacho siku hizi. Mbali na majanga mengineyo.
Watu walisahau kusafirisha dollar kwenda kununua bidhaa huko kwenye maghala ya Pombe ilikua bank to bank na wamekariri Swift code tuu huu mfumo nimeona wameanza kununua tena dollar ili wasafirishe au kutunza fedha zao risk yake ni kubwa ila wazee wa Tozo wanachukua kiasi kikubwa sana niliona malipo aliyokatwa jamaa inasikitisha sana bora serikali iandae bakuri ichangiwe kuliko huu wizi batili..
 
Hivi maza Ana wazaga kweli km anaendesha nchii
 
Watu walisahau kusafirisha dollar kwenda kununua bidhaa huko kwenye maghala ya Pombe ilikua bank to bank na wamekariri Swift code tuu huu mfumo nimeona wameanza kununua tena dollar ili wasafirishe au kutunza fedha zao risk yake ni kubwa ila wazee wa Tozo wanachukua kiasi kikubwa sana niliona malipo aliyokatwa jamaa inasikitisha sana bora serikali iandae bakuri ichangiwe kuliko huu wizi batili..
Hizi tozo mpk wakubwa wanalalamika. Nishawaskia si mmoja wala si wawili.

Tupaze sauti kulalamika kwa kweli labda waliopo juu watasikia na kuziondoa.
 
Hizi tozo mpk wakubwa wanalalamika. Nishawaskia si mmoja wala si wawili.

Tupaze sauti kulalamika kwa kweli labda waliopo juu watasikia na kuziondoa.
Madhara ya kupunguza mzunguko bank watayaona ingawaje yanachukua muda mrefu kuonekana hawa wazee wa V 8 hawawezi kuona...
 
Leo nime withdraw mpunga wangu wote kule, nishapata new safe storage with no such stupidity.
 
Walianzia kwenye miamala ya simu Ili wengi wajazane benk, Ili wafatwe huko huko. Mwigulu ataki tupumue
 
Back
Top Bottom