Wako wapi chadema walio kuwa wanamchafua JPM USIKU NA MCHANA....sisi tulijua lengo la chadema alikuwa jema mbona kipindi hiki cha ufisadi wamenyamaza kimya ...tuliwaambia watz kuwa chadema ni VIBARAKA WA MAFISADI WATU WAKABISHA SASA UKWELI UMEANZA KUJULIKANAMpendwa mteja, utakatwa tozo za Serikali kwa miamala ya kuanzia tarehe 1/7/22 na kuendelea. Hii ni kufuatia mabadiliko ya tozo za miamala ya fedha.
Na bado watanzania tupo kimya as if hakuna kitu kinaendelea...Hakuna penye unafuu Dah![]()

I second BrotherWako wapi chadema walio kuwa wanamchafua JPM USIKU NA MCHANA....sisi tulijua lengo la chadema alikuwa jema mbona kipindi hiki cha ufisadi wamenyamaza kimya ...tuliwaambia watz kuwa chadema ni VIBARAKA WA MAFISADI WATU WAKABISHA SASA UKWELI UMEANZA KUJULIKANA![]()
Muajiriwa analipa direct na indirect tax zifuatazo, pamoja na makato mengine
PAYE
BIMA
PENSION FUND
HESLB
Chama cha wafanyakazi
Tozo za Mitandao ya Simu
Kodi ya nyumba ya Kupanga kwenye Luku
Na zingine nilizosahau
Halafu mmeleta na hii dahView attachment 2328873





