Tozo zimehamia kwenye Ma-Benki

Tozo zimehamia kwenye Ma-Benki

Kwenye kabati tu sasa kama wasomali hahahah Na hiyo ac waifunge tu!
 
Mpendwa mteja, utakatwa tozo za Serikali kwa miamala ya kuanzia tarehe 1/7/22 na kuendelea. Hii ni kufuatia mabadiliko ya tozo za miamala ya fedha.


Na bado watanzania tupo kimya as if hakuna kitu kinaendelea...Hakuna penye unafuu Dah
Wako wapi chadema walio kuwa wanamchafua JPM USIKU NA MCHANA....sisi tulijua lengo la chadema alikuwa jema mbona kipindi hiki cha ufisadi wamenyamaza kimya ...tuliwaambia watz kuwa chadema ni VIBARAKA WA MAFISADI WATU WAKABISHA SASA UKWELI UMEANZA KUJULIKANA
 
Serikali ina mikopo mingi hivyo kodi lazima ikusanywe kwa nguvu
 
Wako wapi chadema walio kuwa wanamchafua JPM USIKU NA MCHANA....sisi tulijua lengo la chadema alikuwa jema mbona kipindi hiki cha ufisadi wamenyamaza kimya ...tuliwaambia watz kuwa chadema ni VIBARAKA WA MAFISADI WATU WAKABISHA SASA UKWELI UMEANZA KUJULIKANA
I second Brother
 
Back
Top Bottom