Tozo zimehamia kwenye Ma-Benki

Tozo zimehamia kwenye Ma-Benki

Naichukia sana hii serikali, yumkini kuliko serikali yoyote ile. Nahisi imekuja kunipa stress zaidi za maisha....

Juzi nilikamatwa na watoza ushuru, wakinishuku sitoi receipt..Tukaenda ofisini kwao..baadaye wakasema nilete document zote nikapeleka..Mzee kitengoni akasema...enyi vijana mbona sioni shida kwa huyu? Akawaita ofisini, wamekaa kama dakika 5 hivi wakarudi kusema...tumeongea tumeona tu tukuruhusu tumekusamehe...ila usirudie...Nilibaki nashangaa sana. Nilijikuta machozi yanatoka...
Jirani yangu alitoa 1.3M kuhonga asipogwe faini ya 3M ukiangalia mazingira aliyokamatiwa unashangaaa....eti radio subwoofer ameandika receipt ndogo ya 120,000 badala ya 160,000 yaani yaani ndo ulipe 1.3M tena si kwa controll number??? Kweli jamani kweli Haya mambo haya!!!

Hivi watanzania wenzangu, hatuyaoni haya/kila mtu achukue zake???? Awamu hii imekuwa ya shida kila mahali... Ukiagiza bidhaa Dsm gharama ya usafiri imepanda karibu mara mbili.

Halafu leo waziri wa biashara sijui anasema cement imeshuka bei....wakati mtaani bei ndo zinapanda yaani

Kama ni mfanya biashara ukisema uende somoni vyakula vimepanda bei utafikiri tunakomolewa yaani

Baadhi ya taasisi ukienda sasa baadhi ya watumishi yaani ni maringooo tu, unawabembeleza kulipa mapato ya serikali hawajali yaani..ni kama wao nao wamechoka yaani...


Yule Mzee alikuwa na mapungufu yake lakini, hatukuwa huku tulikofika tuliheshimiana, hakukuwa na inflation kama hii tuionayo!!!



Juzi nmepiga zangu hesabu
Nimwage tofar trip ngapi tu
Dereva kanitajia bei hiyoo
Nkasema annyway sawa ntakupa

He nakuja kuambiwa kuna ushuru kila trip 8000
Yaan nitoe 80000 nitoe nitoe tu
2 kibali chakujengea
3 napotoa hela bank nikatwe

Me naona wangekuja wanikate tu na miguu nibaki kiwete
 
Leo nimekuta Nimekatwa karibu elf 40 aisee nimeumia sana

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Hii 40k makato Ni Nini na nini wamekukata. Let us imagine mwalimu/Askari akalipwa salary akalipa paye,akatoa hela bank ikaliwa na wajanja, akanunua sukari Kuna Kodi mbona Kama Hawa predators ndio wanaonyonya na kula vitamu kuliko wewe mvuja jasho
 
  • Acha kodi ziwe nyingi kama mchanga, utajiri wa nchi kwa familia chache labda akili zitakuja kwa bongo za raia.
  • Si maraia wakisema mambo ni magumu wanaambiwa na wanakula keki na asali ya inji kwenye viyoyozi ati waamie Burundi
 
Tozo zipo na zilizipitishwa kihalali bungeni , Ila sioni kosa maana ni lazima serikali ikusaye pesa. Bank mwezi uliopita hawakukata Ila wataanza kukata sasa hivi na watakata pia za miamala yote ya atm iliyofanyika mwezi wa 7

Lipeni Kodi na tozo
Yaani apooo mkuu sijakuelewa .....tozo za kibenki zinakuwaje anii naomba ufafanuzi zaidi
 
Yaani leo nmemtumia ela mtu kwa mtandao pendwa kama elf 30 nashangaa tozo imekuwa umiza kichwa..yaani nimeisi kama serikali haina tena uzalendo na wananchi walalahoi...yaani nilipigwa na kitukizito kichwani..nlijuta.serikali onevu sana.
 
Mkuu cha msingi toa hela zako bank weka kwenye simu au nyumbani kwako waachie kilinda kitabu wakatane huko zingatia tu nidhamu ya matumizi basi, changamoto hizi zikupe akili ya kutafuta suluhu

Walifanya hivyo kwenye mobile transactions watu wakarespond kwa kupunguza miamala hali imekuwa tete mpk sasa hivi kuna vipromo ooh tunakulipia makato sijui nini zote hizo ni impact ya sera za hovyo kama hizi

Kwenye nchi ambayo bado wananchi wake asilimia kubwa hawatumii banks system kufanya saving zao palitakiwa kuwe na sera nzuri za kuattacts watu kutumia mabenki lkn badala yake unakuja na sera za hovyo kama hizi eti unajisifia unajengea shule sijui hospital ni kukosa maono tu

Kila mwaka CAG anakuonyesha namna unavyoibiwa billions of money lkn hufanyii kazi unapeleka tena zinaliwa, wawekezaji huwalipishi kodi eti unawavutia watu wanakuja hawana mitaji wanakopa humuhumu wanaanzisha uwekezaji nao unawaita wawekezaji ila wananchi wako unawarundikia kodi kwenye biashara zao halafu tutegemee kuendelea ni ndoto
Wanalenga Ile nyongeza , wanataka kuzirudisha kinamna... Hawakuwa na nia ya kuongeza !!
 


View attachment 2326742
Hii habari imechapishwa twitter January 7 2021 nimekuwekea na link hapo juu ufungue usome, Magufuli amekufa March 17 2021.


Narudia tena serikali ya Magufuli ndio aliweka fine ya millioni 3 kwa asietoa risiti ya EFD
Ulipaswa kuweka mwaka ambao hii Sheria imetungwa , haya matangazo huwa kulingana na Sheria iliyopo yalikuwepo kabla ya 2021 na hata Sasa yapo. Ukijua mwaka ndio utajua hizi faini zililetwa na nan

Au niulize hivi pengine tutaenda sawa, kabla ya Magufuli mtu ambae alikuwa hatoi risiti faini ilikuwa kiasi gan?
 
Naichukia sana hii serikali, yumkini kuliko serikali yoyote ile. Nahisi imekuja kunipa stress zaidi za maisha....

Juzi nilikamatwa na watoza ushuru, wakinishuku sitoi receipt..Tukaenda ofisini kwao..baadaye wakasema nilete document zote nikapeleka..Mzee kitengoni akasema...enyi vijana mbona sioni shida kwa huyu? Akawaita ofisini, wamekaa kama dakika 5 hivi wakarudi kusema...tumeongea tumeona tu tukuruhusu tumekusamehe...ila usirudie...Nilibaki nashangaa sana. Nilijikuta machozi yanatoka...
Jirani yangu alitoa 1.3M kuhonga asipogwe faini ya 3M ukiangalia mazingira aliyokamatiwa unashangaaa....eti radio subwoofer ameandika receipt ndogo ya 120,000 badala ya 160,000 yaani yaani ndo ulipe 1.3M tena si kwa controll number??? Kweli jamani kweli Haya mambo haya!!!

Hivi watanzania wenzangu, hatuyaoni haya/kila mtu achukue zake???? Awamu hii imekuwa ya shida kila mahali... Ukiagiza bidhaa Dsm gharama ya usafiri imepanda karibu mara mbili.

Halafu leo waziri wa biashara sijui anasema cement imeshuka bei....wakati mtaani bei ndo zinapanda yaani

Kama ni mfanya biashara ukisema uende somoni vyakula vimepanda bei utafikiri tunakomolewa yaani

Baadhi ya taasisi ukienda sasa baadhi ya watumishi yaani ni maringooo tu, unawabembeleza kulipa mapato ya serikali hawajali yaani..ni kama wao nao wamechoka yaani...


Yule Mzee alikuwa na mapungufu yake lakini, hatukuwa huku tulikofika tuliheshimiana, hakukuwa na inflation kama hii tuionayo!!!


Ile timu ya tumsifu baada ya kunywa kilevi chao pendwa cha watakuja kukudiss kwa ukali
 
CAG amegeuka whistle blower
Mkuu cha msingi toa hela zako bank weka kwenye simu au nyumbani kwako waachie kilinda kitabu wakatane huko zingatia tu nidhamu ya matumizi basi, changamoto hizi zikupe akili ya kutafuta suluhu

Walifanya hivyo kwenye mobile transactions watu wakarespond kwa kupunguza miamala hali imekuwa tete mpk sasa hivi kuna vipromo ooh tunakulipia makato sijui nini zote hizo ni impact ya sera za hovyo kama hizi

Kwenye nchi ambayo bado wananchi wake asilimia kubwa hawatumii banks system kufanya saving zao palitakiwa kuwe na sera nzuri za kuattacts watu kutumia mabenki lkn badala yake unakuja na sera za hovyo kama hizi eti unajisifia unajengea shule sijui hospital ni kukosa maono tu

Kila mwaka CAG anakuonyesha namna unavyoibiwa billions of money lkn hufanyii kazi unapeleka tena zinaliwa, wawekezaji huwalipishi kodi eti unawavutia watu wanakuja hawana mitaji wanakopa humuhumu wanaanzisha uwekezaji nao unawaita wawekezaji ila wananchi wako unawarundikia kodi kwenye biashara zao halafu tutegemee kuendelea ni ndoto
😂😂😂
 
Alikuwa mshamba ,limbukeni,mchunga ng'ombe,wazazi wake walikuwa wacheza ngoma tu. Saivi wajanja wameshika nchi saivi wacha waile vizuri kwnza mana wao Ni born town mpaka kila mtu atoe machozi ndipo hatasubiria Cha kuambiwa
Mama anaupiga mwingi au sio? Watanzania ni watu wa ajabu sana. 😂😂😂
 
Yaani leo nmemtumia ela mtu kwa mtandao pendwa kama elf 30 nashangaa tozo imekuwa umiza kichwa..yaani nimeisi kama serikali haina tena uzalendo na wananchi walalahoi...yaani nilipigwa na kitukizito kichwani..nlijuta.serikali onevu sana.
Mliambiwa kuwa achaneni nao hao ni wapigadili. Sahizi naona sasa mmejionea wale wapigadili ambao JPM alikuwa akiwasema kila akipata nafasi😂😂😂
 
Naichukia sana hii serikali, yumkini kuliko serikali yoyote ile. Nahisi imekuja kunipa stress zaidi za maisha....

Juzi nilikamatwa na watoza ushuru, wakinishuku sitoi receipt..Tukaenda ofisini kwao..baadaye wakasema nilete document zote nikapeleka..Mzee kitengoni akasema...enyi vijana mbona sioni shida kwa huyu? Akawaita ofisini, wamekaa kama dakika 5 hivi wakarudi kusema...tumeongea tumeona tu tukuruhusu tumekusamehe...ila usirudie...Nilibaki nashangaa sana. Nilijikuta machozi yanatoka...
Jirani yangu alitoa 1.3M kuhonga asipogwe faini ya 3M ukiangalia mazingira aliyokamatiwa unashangaaa....eti radio subwoofer ameandika receipt ndogo ya 120,000 badala ya 160,000 yaani yaani ndo ulipe 1.3M tena si kwa controll number??? Kweli jamani kweli Haya mambo haya!!!

Hivi watanzania wenzangu, hatuyaoni haya/kila mtu achukue zake???? Awamu hii imekuwa ya shida kila mahali... Ukiagiza bidhaa Dsm gharama ya usafiri imepanda karibu mara mbili.

Halafu leo waziri wa biashara sijui anasema cement imeshuka bei....wakati mtaani bei ndo zinapanda yaani

Kama ni mfanya biashara ukisema uende somoni vyakula vimepanda bei utafikiri tunakomolewa yaani

Baadhi ya taasisi ukienda sasa baadhi ya watumishi yaani ni maringooo tu, unawabembeleza kulipa mapato ya serikali hawajali yaani..ni kama wao nao wamechoka yaani...


Yule Mzee alikuwa na mapungufu yake lakini, hatukuwa huku tulikofika tuliheshimiana, hakukuwa na inflation kama hii tuionayo!!!


Kwendraaaa
 
Back
Top Bottom