Tozo zimehamia kwenye Ma-Benki

Tozo zimehamia kwenye Ma-Benki

Naichukia sana hii serikali, yumkini kuliko serikali yoyote ile. Nahisi imekuja kunipa stress zaidi za maisha....

Juzi nilikamatwa na watoza ushuru, wakinishuku sitoi receipt..Tukaenda ofisini kwao..baadaye wakasema nilete document zote nikapeleka..Mzee kitengoni akasema...enyi vijana mbona sioni shida kwa huyu? Akawaita ofisini, wamekaa kama dakika 5 hivi wakarudi kusema...tumeongea tumeona tu tukuruhusu tumekusamehe...ila usirudie...Nilibaki nashangaa sana. Nilijikuta machozi yanatoka...
Jirani yangu alitoa 1.3M kuhonga asipogwe faini ya 3M ukiangalia mazingira aliyokamatiwa unashangaaa....eti radio subwoofer ameandika receipt ndogo ya 120,000 badala ya 160,000 yaani yaani ndo ulipe 1.3M tena si kwa controll number??? Kweli jamani kweli[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Haya mambo haya!!!

Hivi watanzania wenzangu, hatuyaoni haya/kila mtu achukue zake????[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Awamu hii imekuwa ya shida kila mahali... Ukiagiza bidhaa Dsm gharama ya usafiri imepanda karibu mara mbili.

Halafu leo waziri wa biashara sijui anasema cement imeshuka bei....wakati mtaani bei ndo zinapanda yaani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Kama ni mfanya biashara ukisema uende somoni vyakula vimepanda bei utafikiri tunakomolewa yaani[emoji24][emoji24][emoji24]

Baadhi ya taasisi ukienda sasa baadhi ya watumishi yaani ni maringooo tu, unawabembeleza kulipa mapato ya serikali hawajali yaani..ni kama wao nao wamechoka yaani...


Yule Mzee alikuwa na mapungufu yake lakini, hatukuwa huku tulikofika[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] tuliheshimiana, hakukuwa na inflation kama hii tuionayo!!!


[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Hii fine ya 3M ililetwa na huyo unaemlilia kukomoa wafanya biashara, hicho kikosi kazi cha kukamata ambao hawatoi receipt au receipt zisizo za halali alianzisha unaemlilia, swala la malipo kutokua na control number huyo huyo unaemlilia ndio alianzisha “refer bargains za uhujumu uchumi”

Kipindi cha huyo mwendazake wafanyabiashara walikua treated kama waizi wa nchi haya yote ni matunda ya huyo unaemlilia,
 
Mpendwa mteja, utakatwa tozo za Serikali kwa miamala ya kuanzia tarehe 1/7/22 na kuendelea. Hii ni kufuatia mabadiliko ya tozo za miamala ya fedha.


Na bado watanzania tupo kimya as if hakuna kitu kinaendelea...Hakuna penye unafuu Dah[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mzee msuya akisema hatuchukui hatua watu wanamshambulia
 
Maumivu ni makali sana, july hadi August wamevuta 973k.

Aiseee matumizi ya benk sasa yawe kwa nidhamu.

Benki zinaenda kumbana na changamoto ya ukwasi, maana watu wataamua kutoa hela kwa mkupuo na kubaki nazo majumbani kwa matumizi.

Hizi mambo za gvt interference kwenye financial system hupelekea bank crisis.
 
Mpendwa mteja, utakatwa tozo za Serikali kwa miamala ya kuanzia tarehe 1/7/22 na kuendelea. Hii ni kufuatia mabadiliko ya tozo za miamala ya fedha.


Na bado watanzania tupo kimya as if hakuna kitu kinaendelea...Hakuna penye unafuu Dah[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Watoze tuu ilimradi tunaona matokeo kama haya ndani ya mwaka mmja haijawahi tokea 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220816-203211.png
    Screenshot_20220816-203211.png
    87.3 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220815-163443.png
    Screenshot_20220815-163443.png
    93.3 KB · Views: 18
Hii fine ya 3M ililetwa na huyo unaemlilia kukomoa wafanya biashara, hicho kikosi kazi cha kukamata ambao hawatoi receipt au receipt zisizo za halali alianzisha unaemlilia, swala la malipo kutokua na control number huyo huyo unaemlilia ndio alianzisha “refer bargains za uhujumu uchumi”

Kipindi cha huyo mwendazake wafanyabiashara walikua treated kama waizi wa nchi haya yote ni matunda ya huyo unaemlilia,
Faini ya mil 3 ilianzishwa na Magufuli?
 
Ila hizi tozo za atm hazipo bana

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Tozo zipo na zilizipitishwa kihalali bungeni , Ila sioni kosa maana ni lazima serikali ikusaye pesa. Bank mwezi uliopita hawakukata Ila wataanza kukata sasa hivi na watakata pia za miamala yote ya atm iliyofanyika mwezi wa 7

Lipeni Kodi na tozo
 
Pole, Mungu yupo
Naichukia sana hii serikali, yumkini kuliko serikali yoyote ile. Nahisi imekuja kunipa stress zaidi za maisha....

Juzi nilikamatwa na watoza ushuru, wakinishuku sitoi receipt..Tukaenda ofisini kwao..baadaye wakasema nilete document zote nikapeleka..Mzee kitengoni akasema...enyi vijana mbona sioni shida kwa huyu? Akawaita ofisini, wamekaa kama dakika 5 hivi wakarudi kusema...tumeongea tumeona tu tukuruhusu tumekusamehe...ila usirudie...Nilibaki nashangaa sana. Nilijikuta machozi yanatoka...
Jirani yangu alitoa 1.3M kuhonga asipogwe faini ya 3M ukiangalia mazingira aliyokamatiwa unashangaaa....eti radio subwoofer ameandika receipt ndogo ya 120,000 badala ya 160,000 yaani yaani ndo ulipe 1.3M tena si kwa controll number??? Kweli jamani kweli[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Haya mambo haya!!!

Hivi watanzania wenzangu, hatuyaoni haya/kila mtu achukue zake????[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Awamu hii imekuwa ya shida kila mahali... Ukiagiza bidhaa Dsm gharama ya usafiri imepanda karibu mara mbili.

Halafu leo waziri wa biashara sijui anasema cement imeshuka bei....wakati mtaani bei ndo zinapanda yaani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Kama ni mfanya biashara ukisema uende somoni vyakula vimepanda bei utafikiri tunakomolewa yaani[emoji24][emoji24][emoji24]

Baadhi ya taasisi ukienda sasa baadhi ya watumishi yaani ni maringooo tu, unawabembeleza kulipa mapato ya serikali hawajali yaani..ni kama wao nao wamechoka yaani...


Yule Mzee alikuwa na mapungufu yake lakini, hatukuwa huku tulikofika[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] tuliheshimiana, hakukuwa na inflation kama hii tuionayo!!!


[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
niseme tu kitu ambacho kina washinda watanzania wengi ni swala la elimu juu ya kodi hata hawao wanao kubali kutoa RUSHWA nao ni wakosaji wakubwa. ni asilimia kubwa RUSHWA zimetawala, mim ningependa watu hasa wafanya biashara wapate elimu juu ya kodi.
mfano kuna sehemu nilikuta mjadala mmoja unasema kuwa mtu amenunua bidhaa kwa gharama ya laki moja ameenda kuuza kwa 120,000 sasa kodi yake ni asilimia 18 je hapo faida ya muuzaji ni kiasi gani na vipi kuhusu swala la kodi ya pango na maisha ya kila siku. mmoja akasema wakati mtu ana nunua lazima alipe kodi so bei lazima iongezeke, yanii mimi nikanunue kitu cha 120,000 kisha niongeze 18,000 jumla = 138,000 Tsh.

BADO NAHITAJI SANA ELIMU KIUNDANI JUU YA KODI, na kama kuna thread humu ndani inaongelea vizuri basi ningependa sana mtu ali tag nayo nisome.
 
Mkuu cha msingi toa hela zako bank weka kwenye simu au nyumbani kwako waachie kilinda kitabu wakatane huko zingatia tu nidhamu ya matumizi basi, changamoto hizi zikupe akili ya kutafuta suluhu

Walifanya hivyo kwenye mobile transactions watu wakarespond kwa kupunguza miamala hali imekuwa tete mpk sasa hivi kuna vipromo ooh tunakulipia makato sijui nini zote hizo ni impact ya sera za hovyo kama hizi

Kwenye nchi ambayo bado wananchi wake asilimia kubwa hawatumii banks system kufanya saving zao palitakiwa kuwe na sera nzuri za kuattacts watu kutumia mabenki lkn badala yake unakuja na sera za hovyo kama hizi eti unajisifia unajengea shule sijui hospital ni kukosa maono tu

Kila mwaka CAG anakuonyesha namna unavyoibiwa billions of money lkn hufanyii kazi unapeleka tena zinaliwa, wawekezaji huwalipishi kodi eti unawavutia watu wanakuja hawana mitaji wanakopa humuhumu wanaanzisha uwekezaji nao unawaita wawekezaji ila wananchi wako unawarundikia kodi kwenye biashara zao halafu tutegemee kuendelea ni ndoto
 
Waweke utaratibu wa kukata mala moja kwa kila mwezi
Sasa hii kila ukitoa hela ATM kichwa kinaliwa kwakweli hii ni shida
Wenye maamuzi saidie hii sio sawa mpka kufikia leo nishakatwa mpaka napata kizunguzungu
Wenye maamuzi ndio waliopitisha hilo, tambua huna wa kukuamlia

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom