tozo za simu, Ikulu yafunguka

nguvumali

JF-Expert Member
Sep 3, 2009
4,923
1,325
Ikulu ya Kikwete, Waziri mkuu, Waziri wa Fedha ni mkinzano mtu

943665_10201031901271913_1282101313_n.jpg
 
Nchi hii bwana........yaani kila mtu asiporidhika akamuone Rais? Ina maana Rais hasikii hivi vilio mpaka hawa watu waende kwake?
 
Hao ndo viongozi tulionao ambao hufanya jambo bila kuresearch kwanza. Hivi hawa maprof. ni uchwara au ni kwa sababu wako sisiem? Hakuna wizara hata moja Tanzania hii imewai sifiwa kwamba ianfanya vizuri ikiwa chini ya Prof. Mkitaka ntataja mmoja mmoja na alivyoharibu.
Ikulu ya Kikwete, Waziri mkuu, Waziri wa Fedha ni mkinzano mtu

943665_10201031901271913_1282101313_n.jpg
 
Hao ndo viongozi tulionao ambao hufanya jambo bila kuresearch kwanza. Hivi hawa maprof. ni uchwara au ni kwa sababu wako sisiem? Hakuna wizara hata moja Tanzania hii imewai sifiwa kwamba ianfanya vizuri ikiwa chini ya Prof. Mkitaka ntataja mmoja mmoja na alivyoharibu.

Chenge na tume yake ndo waliwadanganya mkuu
 
tunasubiri majibu ya manufaa toka kwa walengwa ili watanzania waendelee kuwa na amani yao.
 
Yaani mi sijaonaga Rais msanii kama huyu jamani, hapa anataka kuonekana anatetea wananchi na hapo hapo pesa anaitaka! Asimame aseme kodi ya buku kwa simkadi ipo au hamna fullstop
 
wazimu mtupu, kampuni za simu ndiyo moja ya zisizolipa kodi ipasavyo,ninauhakika serekali wakiacha rushwa rushwa zao na wakakusanya kodi ipasavyo kwenye hizo hizo kampuni za simu tu watapata pesa zaidi ya hiyo 178 billion.
 
Ila sishangai kama serikali haijuhi mali halisi za viongozi wa serikali itajuaje uwezo wa wananchi wake. Ndo maana ya hizi kodi. Mzee wa kufata upepo hapo lazima aje na cha kushangaza zaidi
Chenge na tume yake ndo waliwadanganya mkuu
 
si wakachukue huko kwenye madini!!!

Siyo kwenye madini tu hata hizi kodi ndogondogo wafanya biashara wanazikwepa sana wakishirikiana na baadhi ya Maofisa wa TRA wasio waadirifu. Hebu fikiria majuzi nimechenjiana sana na Muhindi mmoja kaniuzia kitu kwa Tshs100,000 akanifungia vizuuri then akauchuna,

Nilipomdai risiti akadai nikitaka risiti niongeze elfu18, nika mbana kwamba kumbe huwa anakwepa kodi kwa kuwashirikisha wateja, nikajifanya napiga simu some where niliporudi mezani kwake nikakuta kaniwekea risiti yangu ikiwa wamemfyeka Tshs18,000 kama VAT, hebu jiulize kama mimi nimekomaa kidogo tu nimeikolea Serikali Tshs18,000 kwa dakika chache tu vipi mamilioni ya Transaction yanayofanywa kila siku bila watu kupewa risiti wala mfanya biashara kuweka rekodi ya mauzo?

Vipi wafanya biashara wakubwa wanaokwepa kodi kwa kiwango cha Mabilioni kila siku??/...................(Lazima tuige mifano ya walipa kodi wazuri kama HOME SHOPING CENTRE).
 
Hapa pameongelewa issue ya 1000/= kwa mwezi lakini sijasikia kuhusu kodi nyenginezo zinazotozwa kwenye kutoa au kupokea fedha kupitia mitandao ya simu. Nina wasiwasi huenda hilo pengo likazibwa kwa njia hiyo..!! Au kuengezeka kwa airtime charge n.k. Tatizo bado lipo kwenye ukusanyaji wa kodi katika hayo hayo makampuni ya simu, sidhani kama kweli serikali inakusanya kodi stahili. Wenye kujua taratibu za kodi za hii mitandao hebu waje wakakavue hapa..
 
kwa haraka haraka ni kwamba wanataka kuidivert tu hiyo kodi lakini bado kayumba mimi natakiwa kuilipa. kiufupi wanataka kuifuta kutoka kwenye sim card na kuiweka sehemu ingine...ama wanaitoa sebuleni wanaiweka chumbani ..& I like their thinking...
 
Siyo kwenye madini tu hata hizi kodi ndogondogo wafanya biashara wanazikwepa sana wakishirikiana na baadhi ya Maofisa wa TRA wasio waadirifu. Hebu fikiria majuzi nimechenjiana sana na Muhindi mmoja kaniuzia kitu kwa Tshs100,000 akanifungia vizuuri then akauchuna, nilipomdai risiti akadai nikitaka risiti niongeze elfu18, nika mbana kwamba kumbe huwa anakwepa kodi kwa kuwashirikisha wateja, nikajifanya napiga simu some where niliporudi mezani kwake nikakuta kaniwekea risiti yangu ikiwa wamemfyeka Tshs18,000 kama VAT, hebu jiulize kama mimi nimeikolea Serikali Tshs18,000 kwa dakika chache tu..........

we acha tu mkuu, TRA wanawabana wafanya biashara ndogo ndogo tu, hawa wahindi hawaguswagi. Hata kodi zenyewe wanazokadiriwa wana-nigotiate. Kuna siku moja nilienda TRA nikakuta maafisa wa TRA wanajadiliana na mhindi wamwandikie kiasi gani.
 
Sasa wanategemea kampuni za simu ziiambie serikali mahali pengine pakupata mapato yake?

Sijui na mie sijawaelewa?! Kwa hayo makampuni ya simu kukutana, ina maana warekebishe humo humo kwenye sekta ya mawasiliano (ambayo haitakuwa tofauti na tozo la sim card), au wawatafutie chanzo kipya?! Aiseee......choka kabisa.
 
Back
Top Bottom