Tozo za miamala zitasaidia ujenzi wa Shule zaidi ya 10,000; zahanati zaidi ya 4,500 na vituo vya afya 570 ifikapo 2025. Uzalendo zaidi unahitajika

HIZI HAPA FAIDA ZA TOZO MPYA KWA WATOTO WA MASIKINI WA NCHI

Tupige moyo konde, najua pesa hakuna,najua mzunguko wa pesa hakuna ila tuwaache wenye pesa wasaidie Taifa lao kwa faida ya watoto wetu kesho.

Tuache harakati kwenye maendeleo ya watu, hayupo Mjomba wala shangazi wakutujengea barabara, shule,Zahanati,Hospitali kwaajili yetu na kwaajili ya watoto wetu na watoto wao ila ni sisi wenyewe.

[Hebu angalia faida za tozo kwenye sekta mbili tu za Afya na Elimu]

1. UJENZI WA VYUMBA 10,000 VYA MADARASA

Tunaweza kujenga shule 2,000 za O'level au shule 2,500 za A'level au Shule 1,428 za kidato cha ( I-VI) au Shule 1,250 za Msingi hii ni sawa na katika kila kata 2 itajengwa shule mpya 1 kwenye kata zote 3,956 au nisawa nakusema katika kila jimbo la uchaguzi kwenye majimbo yote 264 zitajengwa shule mpya 8 za Mama Samia likiwemo Jimbo la kaka yangu, "Thadei Ole Mushi " Nakwarejea tu,Tanzania tuna shule 5,330 tu za sekondari,Shule mpya nikaribu nusu ya shule zote za sekondari zilizowahi kujengwa tangu Uhuru,

Nakama tozo hii itaenda mpaka 2025 Mama Samia atajenga shule mpya zinazofikia 10,000 hii ni sawa na kusema karibu kila kijiji kitakuwa na shule mpya ama ya sekondari ama ya msingi kupitia tozo za e-money.

2. UJENZI WA ZAHANATI MPYA 900

Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano alijenga Zahanati 1,198.Leo Mama Samia kwa kutumia Tozo ya Uzalendo atajenga Zahanati mpya 900 kwa mwaka 1 wa fedha|FY 2021/22.Hii ni sawa na Zahanati mpya 4,500 kwa miaka 5 yaani kila Jimbo zitajengwa Zahati mpya 4 katika kila mwaka wa fedha ni sawa na Zahanati 20 kwa miaka 5 ya kwanza ya Mhe Samia Suluhu na hii ni kwamajimbo yote 264,Kwa lugha rahisi ifikapo 2025 kila kata itakuwa na Zahanati Mpya 2 za Mama Samia,

3. UJENZI WA VITUO 114 VYA AFYA

Hyt Rais Magufuli kwa miaka 5 alikarabati na kujenga jumla ya vituo vya afya 487,Leo Mhe Rais Samia Suluhu kwa kutumia Tozo ya e-money atajenga vituo vipya 114 kwa mwaka 1 sawa na vituo 570 kwa miaka 5 ya awamu ya kwanza,Kwa lugha rahisi mwaka 2025 kila Wilaya itakuwa na Vituo vipya 4 vya afya vya Mama Samia vitakavyohudumia watoto wa masikini

Itaendelea, kazi iendelee...

C&P
Unataka kutuaminisha kuwa bila hizi tozo hakuna maendeleo?
Kwani waliojenga hizi tulizonazo walitumia hela gani?

Acheni kuwaibia wananchi kwa kusingizia kuwapelekea maendeleo wakati wanalipa kodi lukuki ambazo ndizo zilizotakiwa kuwapelekea hayo maendeleo..

Hizi tozo mpya naita ni unyang'anyi..

Pili zinafanya mzunguko wa miamala kuwa mdogo.
Mzunguko wa miamala ukiwa mdogo maana yake tunaongeza wimbi la ukosefu wa ajira maana mawakala wengi watafunga kwa kukosa wateja.

Miamala sio chakula kuwa lazima watu watakula tu, ni hiari ya mtu kwenda kupoteza hela yake mwenyewe. Hivyo wengi wameamua kusitisha huduma hiyo maana tozo sio rafiki kwa watumiaji.

Tatu makampuni ya simu yatapata hasara ambayo itapelekea serikali kukosa kodi ambazo ilikua inakusanya kutoka kwao. Hii itasababishwa na mzunguko wa miamala kushuka kwa kasi....

Hizi ni hesabu zangu ambaye hata form four sina. Alafu eti tuna waziri, makamu wa raisi na raisi ambao ni wasomi wa uchumi...

Labda uchumi wa maganda ya korosho
 
Unalinganisha na nchi ipi ambayo Wafanyakazi wake hawajaongezewa mishahara kwa miaka sita!? Wakulima na Wafanyabishara wanadhulumiwa hadi Wafanyabishara wanaikimbia nchi ili wakafanye biashara nchi nyingine!? Hebu acha KUDEMKA!!!



Tulipe kodi, mbona sio hela nyingi, tena ukilinganisha na nchi za wenzetu, kodi yetu ya miamala iko chini nitaweka data hapa, watanzania hawana utamaduni wa kutaka kulipa kodi, watumishi wa umma na sector binafsi ndio walipaji wakubwa wa kodi.

Ila wafanya biashara huwa hawataki hata kusikia 1% ya kodi imeongezeka. Watumishi wa umma hulipa hadi 30% ya makato yote ya mshahara. Ila mfanyabiashara akisikia hata 3% ya kodi imeongezeka, ni kelele na hawataki kusikia. Tulipe kodi plz
 
HIZI HAPA FAIDA ZA TOZO MPYA KWA WATOTO WA MASIKINI WA NCHI

Tupige moyo konde, najua pesa hakuna,najua mzunguko wa pesa hakuna ila tuwaache wenye pesa wasaidie Taifa lao kwa faida ya watoto wetu kesho.

Tuache harakati kwenye maendeleo ya watu, hayupo Mjomba wala shangazi wakutujengea barabara, shule,Zahanati,Hospitali kwaajili yetu na kwaajili ya watoto wetu na watoto wao ila ni sisi wenyewe.

[Hebu angalia faida za tozo kwenye sekta mbili tu za Afya na Elimu]

1. UJENZI WA VYUMBA 10,000 VYA MADARASA

Tunaweza kujenga shule 2,000 za O'level au shule 2,500 za A'level au Shule 1,428 za kidato cha ( I-VI) au Shule 1,250 za Msingi hii ni sawa na katika kila kata 2 itajengwa shule mpya 1 kwenye kata zote 3,956 au nisawa nakusema katika kila jimbo la uchaguzi kwenye majimbo yote 264 zitajengwa shule mpya 8 za Mama Samia likiwemo Jimbo la kaka yangu, "Thadei Ole Mushi " Nakwarejea tu,Tanzania tuna shule 5,330 tu za sekondari,Shule mpya nikaribu nusu ya shule zote za sekondari zilizowahi kujengwa tangu Uhuru,

Nakama tozo hii itaenda mpaka 2025 Mama Samia atajenga shule mpya zinazofikia 10,000 hii ni sawa na kusema karibu kila kijiji kitakuwa na shule mpya ama ya sekondari ama ya msingi kupitia tozo za e-money.

2. UJENZI WA ZAHANATI MPYA 900

Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano alijenga Zahanati 1,198.Leo Mama Samia kwa kutumia Tozo ya Uzalendo atajenga Zahanati mpya 900 kwa mwaka 1 wa fedha|FY 2021/22.Hii ni sawa na Zahanati mpya 4,500 kwa miaka 5 yaani kila Jimbo zitajengwa Zahati mpya 4 katika kila mwaka wa fedha ni sawa na Zahanati 20 kwa miaka 5 ya kwanza ya Mhe Samia Suluhu na hii ni kwamajimbo yote 264,Kwa lugha rahisi ifikapo 2025 kila kata itakuwa na Zahanati Mpya 2 za Mama Samia,

3. UJENZI WA VITUO 114 VYA AFYA

Hyt Rais Magufuli kwa miaka 5 alikarabati na kujenga jumla ya vituo vya afya 487,Leo Mhe Rais Samia Suluhu kwa kutumia Tozo ya e-money atajenga vituo vipya 114 kwa mwaka 1 sawa na vituo 570 kwa miaka 5 ya awamu ya kwanza,Kwa lugha rahisi mwaka 2025 kila Wilaya itakuwa na Vituo vipya 4 vya afya vya Mama Samia vitakavyohudumia watoto wa masikini

Itaendelea, kazi iendelee...

C&P
Kaingia cha kiume....
 
Katika watu ambao ni wapuuzi basi ni Hawa viongozi wa sasa, yaani badala ya kutoka kuwaeleza watu tozo hizo zimewekwa kwa ajili gani na zitafanya nini yamekaa kimya yanawaacha machadema yanatamba.

Wanao umia kwenye kukosa hizo huduma ni hao hao wanaojiita maskini ndio watoto wao wamerundikana kwenye madarasa,ndio hawana bima na wanazalia chini kwenye hospital chache zilizopo,hawana maji na mbaya zaidi barabara za uhakika hakuna.

Hao ndio Mtaka aliwaambia watoto wao wanatembea km 50 zaidi kwa wiki ila hawataki kuumia sasa ngoja waendelee kusugua zaidi tuone kama wakibaki na hivyo vihela watatoka kwenye umaskini.

Unawasikiliza wapuuzi wa CDM hawajawahi Jenga shule hata moja ya mfano kusaidia jamii wanaishi kwa ruzuku za serikali na misaada ya wazungu,wewe unaehaso eti unacheza ngoma yao?
 
Unataka kutuaminisha kuwa bila hizi tozo hakuna maendeleo?
Kwani waliojenga hizi tulizonazo walitumia hela gani?

Acheni kuwaibia wananchi kwa kusingizia kuwapelekea maendeleo wakati wanalipa kodi lukuki ambazo ndizo zilizotakiwa kuwapelekea hayo maendeleo..

Hizi tozo mpya naita ni unyang'anyi..

Pili zinafanya mzunguko wa miamala kuwa mdogo.
Mzunguko wa miamala ukiwa mdogo maana yake tunaongeza wimbi la ukosefu wa ajira maana mawakala wengi watafunga kwa kukosa wateja.

Miamala sio chakula kuwa lazima watu watakula tu, ni hiari ya mtu kwenda kupoteza hela yake mwenyewe. Hivyo wengi wameamua kusitisha huduma hiyo maana tozo sio rafiki kwa watumiaji.

Tatu makampuni ya simu yatapata hasara ambayo itapelekea serikali kukosa kodi ambazo ilikua inakusanya kutoka kwao. Hii itasababishwa na mzunguko wa miamala kushuka kwa kasi....

Hizi ni hesabu zangu ambaye hata form four sina. Alafu eti tuna waziri, makamu wa raisi na raisi ambao ni wasomi wa uchumi...

Labda uchumi wa maganda ya korosho
Usiwe mjinga kwa miaka 6 iliyopita mfano Magu kajenga vituo vya afya 300 na hospital 60 tuu na hadi anakufa karibu vyote havifanyi Kazi hakuna pesa za umaliziaji.

Na bado nahitaji mengine kibao kwenye sekta zingine inamaana tukiendelea kujivuta vuta tutafika miaka 100 ya uhuru hakuna cha maana nchi imefaulu si barabara si elimu si afya .

Matokeo yake ni umaskini zaidi kwa wale mbaiwatetea saizi na bahati mbaya hii nchi kasi ya uzazi ni kubwa Sana.Fikiria kwa mfano Mji wa Tunduma una zaidi ya wakazi 200,000 lakini ina kituo cha afya cha serikali 1 tuu huku hospital iliyoanza kujengwa awamu ya mwendazake haijulikan itaanza lini Kazi.

Ukipata changamoto ya Afya usafiri kwenda Wilaya zingine hizo gharama unaziona? Kipi bora hapo kulipa tozo kwa mda Ili kupunguza changamoto au kuendelea kulialia huku ha
 
HIZI HAPA FAIDA ZA TOZO MPYA KWA WATOTO WA MASIKINI WA NCHI

Tupige moyo konde, najua pesa hakuna,najua mzunguko wa pesa hakuna ila tuwaache wenye pesa wasaidie Taifa lao kwa faida ya watoto wetu kesho.

Tuache harakati kwenye maendeleo ya watu, hayupo Mjomba wala shangazi wakutujengea barabara, shule,Zahanati,Hospitali kwaajili yetu na kwaajili ya watoto wetu na watoto wao ila ni sisi wenyewe.

[Hebu angalia faida za tozo kwenye sekta mbili tu za Afya na Elimu]

1. UJENZI WA VYUMBA 10,000 VYA MADARASA

Tunaweza kujenga shule 2,000 za O'level au shule 2,500 za A'level au Shule 1,428 za kidato cha ( I-VI) au Shule 1,250 za Msingi hii ni sawa na katika kila kata 2 itajengwa shule mpya 1 kwenye kata zote 3,956 au nisawa nakusema katika kila jimbo la uchaguzi kwenye majimbo yote 264 zitajengwa shule mpya 8 za Mama Samia likiwemo Jimbo la kaka yangu, "Thadei Ole Mushi " Nakwarejea tu,Tanzania tuna shule 5,330 tu za sekondari,Shule mpya nikaribu nusu ya shule zote za sekondari zilizowahi kujengwa tangu Uhuru,

Nakama tozo hii itaenda mpaka 2025 Mama Samia atajenga shule mpya zinazofikia 10,000 hii ni sawa na kusema karibu kila kijiji kitakuwa na shule mpya ama ya sekondari ama ya msingi kupitia tozo za e-money.

2. UJENZI WA ZAHANATI MPYA 900

Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano alijenga Zahanati 1,198.Leo Mama Samia kwa kutumia Tozo ya Uzalendo atajenga Zahanati mpya 900 kwa mwaka 1 wa fedha|FY 2021/22.Hii ni sawa na Zahanati mpya 4,500 kwa miaka 5 yaani kila Jimbo zitajengwa Zahati mpya 4 katika kila mwaka wa fedha ni sawa na Zahanati 20 kwa miaka 5 ya kwanza ya Mhe Samia Suluhu na hii ni kwamajimbo yote 264,Kwa lugha rahisi ifikapo 2025 kila kata itakuwa na Zahanati Mpya 2 za Mama Samia,

3. UJENZI WA VITUO 114 VYA AFYA

Hyt Rais Magufuli kwa miaka 5 alikarabati na kujenga jumla ya vituo vya afya 487,Leo Mhe Rais Samia Suluhu kwa kutumia Tozo ya e-money atajenga vituo vipya 114 kwa mwaka 1 sawa na vituo 570 kwa miaka 5 ya awamu ya kwanza,Kwa lugha rahisi mwaka 2025 kila Wilaya itakuwa na Vituo vipya 4 vya afya vya Mama Samia vitakavyohudumia watoto wa masikini

Itaendelea, kazi iendelee...

C&P

Wekeni jedwali kwanza la hospitali na vituo vya afya vilivyojengwa wakati wa magufuli, mahali vilipo na thamani yake. Msitutajie idadi peke yake mkadhani sisi ni wajinga wa hivyo. Tunataka tujue hizo hospitali, shule nk mnazotaja mnataka kuzijenga wapi na thamani yake, ili tupime hiyo hela itaingia wapi na lini ni mwisho wa hayo makusanyo.
 
Kama MO, BAKRESA na GSM watalalamika namimi nitalalamika ila nashanga mtu anakatwa 4,200 analialia hajua hawa matajiri kwa siku wanakatwa mamilioni na hawana kelele, Masikini hana jema.

Shida sio makato shida Magufuli alitupiga kiuchimi balaaaaa, elfu 4,200 inaumaa
Mbona unaongea kinadharia sana . Wanakatwa mamilioni kwenye nn? Kwenye faida wanayoingiza ama kwenye mitaji yao? Ukijua hili utajua nn watu wanalalamikia
 
Watanzania hawaeleweki juzi walisema tuwapunguzie kodi wawekezaji wanakimbia Leo wao nao wanalalamikia kodi sijui wao watakimbilia nchi gani

Hakuna cha bure, No pain no gain

Shida ya Mwigulu hatoi ufafanuzi mzuri kwa wananchi waelewe kwanini makato sasa.

Makato sasa mkajengee mahekalu wastaafu na kuwapa magari wakati hawana uhitaji huo wala tija yoyote? Hayo makusanyo sio ndio mnawazungushia wastaafu kwenda kwenye miradi ambayo aliwashinda kujenga? Kama mnadhani kuna mjinga mtamtajia idadi ya hospitali na shule bila kutaja ni wapi na thamani ya hiyo miundombinu basi mmechelewa. Kauzeni zile rasilimali Magufuli alizokuwa analinda, kisha mjengee hivyo vituo vya afya.
 
Usiwe mjinga kwa miaka 6 iliyopita mfano Magu kajenga vituo vya afya 300 na hospital 60 tuu na hadi anakufa karibu vyote havifanyi Kazi hakuna pesa za umaliziaji.

Na bado nahitaji mengine kibao kwenye sekta zingine inamaana tukiendelea kujivuta vuta tutafika miaka 100 ya uhuru hakuna cha maana nchi imefaulu si barabara si elimu si afya .

Matokeo yake ni umaskini zaidi kwa wale mbaiwatetea saizi na bahati mbaya hii nchi kasi ya uzazi ni kubwa Sana.Fikiria kwa mfano Mji wa Tunduma una zaidi ya wakazi 200,000 lakini ina kituo cha afya cha serikali 1 tuu huku hospital iliyoanza kujengwa awamu ya mwendazake haijulikan itaanza lini Kazi.

Ukipata changamoto ya Afya usafiri kwenda Wilaya zingine hizo gharama unaziona? Kipi bora hapo kulipa tozo kwa mda Ili kupunguza changamoto au kuendelea kulialia huku ha
Unatumia hisia kuniaminisha kuwa kuipa serikali hela zaidi ya inayostahioi kukusanya ndiko kutakakoleta maendeleo.

Acha nikuulize haya maswali na ninaomba unijibu kwa ufasaha kisha nitakuelewa kuhusu hizi tozo

1. Hela za kununua ndege zilitoka wapi?
2. Hela za kujenga kiwanja cha ndege chato zilitoka wapi?
3. Hela za kununua ma-V8 zinatoka wapi?
4. Hela za posho za wabunge zinatoka wapi?
5. Hela za per diem zinatoka wapi?
6. Hela za kujengea wastaafu nyumba zinatoka wapi.?

Mimi nadhani kama taifa hatuna vipaumbele. Viongozi wapo ili kujinufaisha wao na familia zao. Wala sio eti hakuna hela za kuboresha huduma za muhimu kwa wananchi..

Hapo wameongezea hizo tozo ili wapate hela ambazo hazikusanywi na TRA na hakuna atayehoji imekunywa ngapi. Hapo ndipo watakapo tajirikia.

Umewahi kujiuliza ni nini faida ya
1. Bandari tulizonazo
2. Madini
3. Mlima kilimanjaro
4. Gas ya mtwara
5. Kodi zinazokusanywa kila uchwao
6. Mbuga za wanyama

Na mengine mengi kwa mtanzania wa kawaida?

Kwa taarifa yako, hizo tozo zinaenda kuleta mdororo wa mzunguko wa miamala kiasi kwamba badala ya kupata, watapoteza hata ile VAT waliyokua wanaipata kupitia ada ya miamala.

Watu wa aina yako ndio wanaotoaga ushauri wa kuangamiza taifa kwa kujifanya wajuaji kumbe ni mburula wa mwisho
 
Haya ni mahesabu tu ya kwenye makaratasi tukirudi kwenye uhalisia hilo jambo halitawezekana.

Watanzania ni wazuri sana kwa mipango ila utekelezaji hapana.

Kwa bahati mbaya hizo fedha zitaingia kwenye mifuko ya watu kama nyingine tu.

No guarantee.
 
Huyu mama anahesabu kali sana huenda akavunja rekodi kwa ujenzi wa miundombini ya maendeleo kwa wananchi.

Japo makato yanauma ila kama mambo ni haya niko tayari.
Uko tayari kufanyaje?
Maneno mepesi tu umeshaingia mtegoni.
Hizo ni fix za wanasiasa...watanzania tujifunze kuwahoji sana hawa watu.
Walishatudanganya mengi.

Walitudanganya Gas ya Mtwara ikikamilika umeme utashuka bei...yako wapi?!
 
Ndoto za Alinacha hizo. Anapiga hesabu ya vifaranga atakavyopata, idadi ya kuku kutokana na hao vifaranga na fedha atakavyopata baada ya kuwauza hao kuku. Kasahau kabisa kwamba mayai bado hayajaanguliwa.
 
Unatumia hisia kuniaminisha kuwa kuipa serikali hela zaidi ya inayostahioi kukusanya ndiko kutakakoleta maendeleo.

Acha nikuulize haya maswali na ninaomba unijibu kwa ufasaha kisha nitakuelewa kuhusu hizi tozo

1. Hela za kununua ndege zilitoka wapi?
2. Hela za kujenga kiwanja cha ndege chato zilitoka wapi?
3. Hela za kununua ma-V8 zinatoka wapi?
4. Hela za posho za wabunge zinatoka wapi?
5. Hela za per diem zinatoka wapi?
6. Hela za kujengea wastaafu nyumba zinatoka wapi.?

Mimi nadhani kama taifa hatuna vipaumbele. Viongozi wapo ili kujinufaisha wao na familia zao. Wala sio eti hakuna hela za kuboresha huduma za muhimu kwa wananchi..

Hapo wameongezea hizo tozo ili wapate hela ambazo hazikusanywi na TRA na hakuna atayehoji imekunywa ngapi. Hapo ndipo watakapo tajirikia.

Umewahi kujiuliza ni nini faida ya
1. Bandari tulizonazo
2. Madini
3. Mlima kilimanjaro
4. Gas ya mtwara
5. Kodi zinazokusanywa kila uchwao
6. Mbuga za wanyama

Na mengine mengi kwa mtanzania wa kawaida?

Kwa taarifa yako, hizo tozo zinaenda kuleta mdororo wa mzunguko wa miamala kiasi kwamba badala ya kupata, watapoteza hata ile VAT waliyokua wanaipata kupitia ada ya miamala.

Watu wa aina yako ndio wanaotoaga ushauri wa kuangamiza taifa kwa kujifanya wajuaji kumbe ni mburula wa mwisho
Nitumie hisia Ili iweje ,wewe ndio unaongozwa na hisia za kipuuzi ukiwa na mentality ya kipuuzi pia kwamba pesa inaibiwa.

Kwanza lazima uelewe pesa ya kuendeshea Serikali lazima ipatikane iwe ni per diem,salary,sjui posho za wabunge au kununua magari ya serikali lazima popote itakapopatikana hayo ndio mambo ya kwanza Ili ku run serikali na ku restore order.

Pili pesa ya maendeleo ndio haitoshi na ndio inatafutwa kwa vyanzo vingine ikiwamo kodi na tozo nk.

Madini unayotaja wewe yanahitaji wawekezaji kama mnavyowekeza kwingineko na aliyewekeza ndio anapata pakubwa kwa hiyo hujakatazwa kuwekeza ila mtaji huna na kama huna yakiendelea kukaa ardhini ni useless .Kwa taarifa yako tozo za madini yote uyajuayo nchi hii huipatia serikali chini ya bln 600 kwa hiyo usiwe obsessed na kitu madini sio valuable kwa kiwango unachofikilia wewe.

Hizo bandari bila miundombinu ni useless ni sawa tuu na kuwa na madini au mali nyingine ila huna uwezo wa kuvigeuza kuwa pesa au hata ukijitahidi Unapata kiduchu Sana.

Na nchi hii ina watu wengi mnazaana Sana na mahitaji yanakuwa daily kwa hiyo bila kujikamua umaskini utazidi kutamalaki.Na hao unaojifanya kuwatetea huwasaidii ila ndio kwanza watazidi kudidimia kama Serikalini isipochukua hatua kali kama hizi kuwainua hao watu.
 
Nitumie hisia Ili iweje ,wewe ndio unaongozwa na hisia za kipuuzi ukiwa na mentality ya kipuuzi pia kwamba pesa inaibiwa.

Kwanza lazima uelewe pesa ya kuendeshea Serikali lazima ipatikane iwe ni per diem,salary,sjui posho za wabunge au kununua magari ya serikali lazima popote itakapopatikana hayo ndio mambo ya kwanza Ili ku run serikali na ku restore order.

Pili pesa ya maendeleo ndio haitoshi na ndio inatafutwa kwa vyanzo vingine ikiwamo kodi na tozo nk.

Madini unayotaja wewe yanahitaji wawekezaji kama mnavyowekeza kwingineko na aliyewekeza ndio anapata pakubwa kwa hiyo hujakatazwa kuwekeza ila mtaji huna na kama huna yakiendelea kukaa ardhini ni useless .Kwa taarifa yako tozo za madini yote uyajuayo nchi hii huipatia serikali chini ya bln 600 kwa hiyo usiwe obsessed na kitu madini sio valuable kwa kiwango unachofikilia wewe.

Hizo bandari bila miundombinu ni useless ni sawa tuu na kuwa na madini au mali nyingine ila huna uwezo wa kuvigeuza kuwa pesa au hata ukijitahidi Unapata kiduchu Sana.

Na nchi hii ina watu wengi mnazaana Sana na mahitaji yanakuwa daily kwa hiyo bila kujikamua umaskini utazidi kutamalaki.Na hao unaojifanya kuwatetea huwasaidii ila ndio kwanza watazidi kudidimia kama Serikalini isipochukua hatua kali kama hizi kuwainua hao watu.
Sasa mbona sijakuelewa. Kwahiyo kipaumbele chetu ni hayo magali, posho, per diem na huo ushubwada na sio huduma bora kwa wananchi si ndio?

Hivi si ndio nyie mnaotaka kujenga sanamu kwa kodi zetu?

Si ndio nyie nyie mnao jengeana nyumba wastaafu kwa hizo hizo kodi mnazoona hazitoshi?

Yaani mnatumia hela hovyo kufanya matumizi yasiyo ya lazima tena hela zetu alafu mnakuja mnataka nyingine wakati hizo mnazokusanya hamtuletei yale mnayotuahidi mpaka tunaona sawa tu kukatwa kodi.

Au mnadhani kodi mnayokata ni fungu la kumi? Ni hela zinazotakiwa zipelekwe moja kwa moja kwenye maendeleo na sio kujilipa maposho ambayo mnakaa kujadili vitu ambavyo havitekelezeki
 
Back
Top Bottom