screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Leo nilikuwa natumia huduma ya Lipa kwa simu kupitia voda, nikalipia bidhaa yenye thamani ya elfu 15 nikakatwa sh. 850, kama sijasahau hii huduma hapo mwanzo ilikuwa na lengo la kumsaidia mteja pale anapolipia bidhaa, ilianza kwa mteja kulipia bidhaa bila kukatwa, then wakaja na makato madogo, sahivi yamezidi kuwa makubwa.
Kwa mwendo huu hii Lipa itakuwa na msaada kweli uliokusudiwa ama ndio wameona dili lipo huku baada ya kubanwa na serikali kwenye M-Pesa kwa makato lukuki? Sijajua kwa mitandao mingine, ila nafikiri kama Voda 'mtandao mama' wamepandisha basi na mitandao mingine itapandisha. Cc vodacom
Kwa mwendo huu hii Lipa itakuwa na msaada kweli uliokusudiwa ama ndio wameona dili lipo huku baada ya kubanwa na serikali kwenye M-Pesa kwa makato lukuki? Sijajua kwa mitandao mingine, ila nafikiri kama Voda 'mtandao mama' wamepandisha basi na mitandao mingine itapandisha. Cc vodacom