King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,653
- 68,601
Mimi mbona nishaanza kukatwa Vodacom.
Bila kupaza sauti twafaaa kweliHawa wasenge watatuua
Jay tatizo sio kulipa tatizo usimamizi wa kodi!Kodi muhimu sana kulipa, tulipeni kodi plz
Halafu watakuja akina SHIGONGO kutuambia wamewasiliana na Rais ili tozo hili liondoke.MONDAY JULY 19 2021
Wakati kelele za tozo ya miamala ya simu zikiendelea kuanzia Agosti mwaka huu, watumiaji wa simu nchini wataanza kuchangia bajeti kuu ya Serikali kupitia tozo ya laini za simu kwa kila anayeongeza salio la maongezi...
Kwahyo tunanyooshwa tusitumie simu ovyoDar es Salaam. Wakati kelele za tozo ya miamala ya simu zikiendelea kuanzia Agosti mwaka huu, watumiaji wa simu nchini wataanza kuchangia bajeti kuu ya Serikali kupitia tozo ya laini za simu kwa kila anayeongeza salio la maongezi...
North Korea mbali mno upo Eritria laini ya simu kumiliki itaenda kuwa kasheshe huko mbeleniAu nipo North Korea hamtaki kuniambia?!
Hivi vigagula vinafiki sanaHivi ni kweli?View attachment 1859402
Ha ha haHivi vigagula vinafiki sana
"mama anaupiga mwingi Hadi raha"Mama anaupiga mwingi hadi raha. Sio muda ataanza kupiga penalti tu sasa.
Kwanza wamechelewa, ilitakiwa zianze mwezi huu wa 7.
Mwezi ujao ? Mbona zinachelewa ?...zianze hata kesho, watu tunataka kujenga nchi bana, tulicheleweshwa mno