Tozo mpya:NMB Huko Bank nyingine pakoje

Tozo mpya:NMB Huko Bank nyingine pakoje

ngoshamaguzu

Member
Joined
Jul 12, 2020
Posts
25
Reaction score
44
Habari za miangaiko wadau,
Ngoja nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Leo katika pitapita zangu nikakutana na hii inshu ya gharama mpya za kutoa pesa na ada ya mwaka ya kwenye a/c ya Nmb zimeongezeka. Binafsi sijapata ujumbe wowote kama walivyofanya mitandao ya simu kutujuza ongezeko hilo.
Hivyo basi tungeomba japo kujulishwa tu hata kwa taarifa. Ama kweli hii ndo mikakati yakutufanya tuhamie burundi. Naomba kuwasilisha
IMG-20210821-WA0007.jpg
 
Habari za miangaiko wadau,
Ngoja nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Leo katika pitapita zangu nikakutana na hii inshu ya gharama mpya za kutoa pesa na ada ya mwaka ya kwenye a/c ya Nmb zimeongezeka. Binafsi sijapata ujumbe wowote kama walivyofanya mitandao ya simu kutujuza ongezeko hilo.
Hivyo basi tungeomba japo kujulishwa tu hata kwa taarifa. Ama kweli hii ndo mikakati yakutufanya tuhamie burundi. Naomba kuwasilishaView attachment 1901910
Aiseeh!
IMG_20210821_145411.jpg
 
Mwezi wa kumi tujiandao na tozo katika maeneo haya,,
Wamiliki wa daladala, saloon,babashopu,bar,tv,radio na maeneo ya kujisaidia,,
Ni hivii kama unasikiliza redio unalipia msikilizaji..
Kama unatizama TV mtizamaji unalipia..
Kama wanyoa nywele..mnyolewaji unalipia..
Sijui naelewekaaa.
Ukipanda daladala kuna tozo laongezeka kidogo.Bar pia tozo zaongezeka kwa wanywaji wa vinywaji vikali na vya kawaida..




Pepopunda litarudi na popobawa litarudi misimu ya uwajibikaji wa kulipia TOZO,,
 
Habari za miangaiko wadau,
Ngoja nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Leo katika pitapita zangu nikakutana na hii inshu ya gharama mpya za kutoa pesa na ada ya mwaka ya kwenye a/c ya Nmb zimeongezeka. Binafsi sijapata ujumbe wowote kama walivyofanya mitandao ya simu kutujuza ongezeko hilo.
Hivyo basi tungeomba japo kujulishwa tu hata kwa taarifa. Ama kweli hii ndo mikakati yakutufanya tuhamie burundi. Naomba kuwasilishaView attachment 1901910
Apo kwenye kutoa kuanzia shs ngap???
 
Mwezi wa kumi tujiandao na tozo katika maeneo haya,,
Wamiliki wa daladala, saloon,babashopu,bar,tv,radio na maeneo ya kujisaidia,,
Ni hivii kama unasikiliza redio unalipia msikilizaji..
Kama unatizama TV mtizamaji unalipia..
Kama wanyoa nywele..mnyolewaji unalipia..
Sijui naelewekaaa.
Ukipanda daladala kuna tozo laongezeka kidogo.Bar pia tozo zaongezeka kwa wanywaji wa vinywaji vikali na vya kawaida..




Pepopunda litarudi na popobawa litarudi misimu ya uwajibikaji wa kulipia TOZO,,
Zishaaza mbona
IMG-20210821-WA0011.jpg
 
Back
Top Bottom