Tozo mpya:NMB Huko Bank nyingine pakoje

Tozo mpya:NMB Huko Bank nyingine pakoje

Habari za miangaiko wadau,
Ngoja nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Leo katika pitapita zangu nikakutana na hii inshu ya gharama mpya za kutoa pesa na ada ya mwaka ya kwenye a/c ya Nmb zimeongezeka. Binafsi sijapata ujumbe wowote kama walivyofanya mitandao ya simu kutujuza ongezeko hilo.
Hivyo basi tungeomba japo kujulishwa tu hata kwa taarifa. Ama kweli hii ndo mikakati yakutufanya tuhamie burundi. Naomba kuwasilishaView attachment 1901910
Huu ndiyo "mpapaso" hasa,acha wa watoto wa masau bwire! Tutapapaswa na kupakatwa sawia!
 
Mmmmhh wameamua kutufata na huku?
Habari za miangaiko wadau,
Ngoja nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Leo katika pitapita zangu nikakutana na hii inshu ya gharama mpya za kutoa pesa na ada ya mwaka ya kwenye a/c ya Nmb zimeongezeka. Binafsi sijapata ujumbe wowote kama walivyofanya mitandao ya simu kutujuza ongezeko hilo.
Hivyo basi tungeomba japo kujulishwa tu hata kwa taarifa. Ama kweli hii ndo mikakati yakutufanya tuhamie burundi. Naomba kuwasilishaView attachment 1901910
 
Habari za miangaiko wadau,
Ngoja nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Leo katika pitapita zangu nikakutana na hii inshu ya gharama mpya za kutoa pesa na ada ya mwaka ya kwenye a/c ya Nmb zimeongezeka. Binafsi sijapata ujumbe wowote kama walivyofanya mitandao ya simu kutujuza ongezeko hilo.
Hivyo basi tungeomba japo kujulishwa tu hata kwa taarifa. Ama kweli hii ndo mikakati yakutufanya tuhamie burundi. Naomba kuwasilishaView attachment 1901910
Mama anaupiga Mwingi,
Akimalizia hii minne anayomshikia Hayati Mwenda tumpe yake ingine 20, mpaka akili zitukae sawa.
 
Kwasababu Bank zipo nyingi dawa ni kuhamia tu bank nyingine kama haina makato kama hayo
 
Back
Top Bottom