Toyota passo 2004 au zaidi..

Toyota passo 2004 au zaidi..

Tough lady

Senior Member
Joined
Jul 24, 2013
Posts
151
Reaction score
183
Natafuta Toyota Passo ya kuanzia mwaka 2004 na kuendelea, iwe nzuri, imelipiwa ushuru na kama imesajiliwa bongo isiwe na zaidi ya mwezi 1..bei mil 5.5 hadi 6.5, isiwe nyeupe au njano...
Usipige kuniambia kuwa una aina nyingine ili kunibadili mawazo,...
Message hazitajibiwa...
Call 0765 612193::
 
Natafuta Toyota Passo ya kuanzia mwaka 2004 na kuendelea, iwe nzuri, imelipiwa ushuru na kama imesajiliwa bongo isiwe na zaidi ya mwezi 1..bei mil 5.5 hadi 6.5, isiwe nyeupe au njano...
Usipige kuniambia kuwa una aina nyingine ili kunibadili mawazo,...
Message hazitajibiwa...
Call 0765 612193::
Iwe na mwezi mmoja tu bongo but iuzwe chini ya 6.5Mil??

Yaani CIF + Kodi + Faida < Tshs 6.5Million??!!!
That is IMPOSSIBLE dada!!
 
Labda mngempa mchakato wa bei zake wengine kidogo :frusty: :frusty:
 
kwa kawaida huwa ni bei gani?

Sina uhakika sana,

But CIF + Inspection waweza kupata kwa $2,500 to $ 3,000 (4Million to Tshs 5Million)
Kodi na Makorokoro Mengine Tshs 3.7Million.
So total from 7.7Million to 8.7Million.

Hii ni kama akiagizia from Japan, au labda akinunua kwa dealers wanaoagiza in bulky (kwenye 40ft Container)
Wao vigari vidogo kama hivi hua wanavishindilia vingi kwenye Container Kubwa na usafiri wanalipia tu Container that is Cheaper than dealers wanaoigiza gari moja moja (Ro-Ro)
 
vigezo na masharti kuzingatiwa, we dada umetisha 😎
 
Nashukuru sana kwa maelezo mazuri kaka, kuna mtu kaniambia nimpe 7.4 ni ya 2004, 1300cc, amesajili last week na lina bima, so ni kubadili tu ownership.
So, kwa maelezo yako naona hajanionea kabisa,maana kila kitu tayari hapo.
Kuagiza natamani,ila si unajua hela zetu wengine za kuchanga ,na ndo hiyohiyo,ikitokea tatizo, inaweza kufika na ile ya ushuru huna tena ukaliacha bandari.Thanx a lot kaka kwa mchanganuo mzuri🙂
 
Kama inawezekana nikutafute jumapili niliangalie,nikiipenda nachukua kwa hiyo bei.
 
Back
Top Bottom