ngota wa nzambe
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 120
- 135
Wiki iliyopita niliamsha IST yangu kwenda Kahama, safari ilikuwa tamu, japo nimeumia sana kuona napitwa njiani kama vile nimesimama, japokuwa nilikuwa nakanyaga mafuta mpaka mwisho!
Nimeumia sana! Siitumii tena nimeapa
Nimeumia sana! Siitumii tena nimeapa