Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,093
- 22,806
Hivi unaakili sawa sawa we kijana?! Yaani V8 inafananisha na IST?!Nilikuwa nakimbizana na mav8 mkuu..ligi ikanishinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unaakili sawa sawa we kijana?! Yaani V8 inafananisha na IST?!Nilikuwa nakimbizana na mav8 mkuu..ligi ikanishinda
Msiangalie sana ku-save mafuta. Gharama mnazotumia kufanyia hayo magari maintenance inazidi kabisa gharama za mafuta mtu mwenye land cruiser. Manake at the end of the day, mtu mwenye land cruiser gari inadumu miaka na miaka, yako imeshaisha. Umemalizwa garage, yeye hajaumia maintenance. Gari yake inakanyaga popote kokote muda wowote, yako haiwezi. Msiangalie sana mafuta, angalieni reliability ya gari. Hapo ndio mnakosea