Toyota Brevis zina nini cha ziada?

Toyota Brevis zina nini cha ziada?

Brevis ni mashine man nitakutafutia drag race ya Brevis na Mark X tumalize hubishi, lakin jua kama Mark x nizito sana tofaut na Brevis amabyo ni nyepesi, alafu kuhusu horsepower unakuta gari ina horsepower kubwa sana lakin hawezi mpata mwenye horsepower dongo,kuhusu gari kukimbia siyo horsepower tu kuna vitu vingi sana kama uzito wa gari,gear box yake ipoje na vingine vingi, kuhusu horse power tafuta gari linaitwa nissani gtr unakuta linahorsepower 650 lakini gari zinakujana horsepower 800 mpaka 900 hawakamati gtr, ndio gtr inapendawa sana usa na Europe ingawa ni gari ya japan

Mkuu kama gari ipi ina horsepower 800 kisha inaachwa na gtr?

By the way kuna video moja youtube drag race between bmw i thnk ni 3 series na bugatti, kwa kuanza kuondoka tu BMW kachomoka fasta bugatti akasoma plate number, lakini baadae mwenye bmw alipomaliza kupeswa tu mara ya pili baada ya kuondoka akawa anasoma plate number ya bugatti, this is my point now. Na kibrevis chako utaondoka mara moja, lakini utakapofika a certain speed utaona inaanza kuongozeka kidogo kidogo wakati mwenye horsepower kubwa inaongezeka haraka.
 
Ukiweka spea za BMW ni mkataba, hazitaki mambo ya kuungaunga. Ila ni gharama si kitoto.
Huihitaji services ya mara kwa mara kama magari ya toyota. Unaweza kufika hadi 15,000 km ukafanya service kubwa.
Ukiweka the right oil unaweza kutoboa hadi km 5000.
Magari mengi ya kijerumani hayataki kuungaunga. Litakusumbua.

Wajeru wanatoa gari za uhakika, ni kweli unayosemayo, ukitumia right parts ata kama utaingia gharama lkn utadumu nayo, lakini sijui utie oil filter ya buku 5, gari yenyewe itanuna na kuanza kukutia mashoti.

Halafu bimmer kama ina warranty ndo utaenjoy hasa. Bro wangu alikua na bimmer 2008 kipindi icho, ikamsumbua, yaani kitu unawacall kwenye dashboard ya gari wanajua ulipo na wanakufata apo apo kukutengezea gari na sio uwafate wewe, tena kama ipo na warranty inasumbua unapewa service bure ya kutengezewa (sio kwa matatizo ulosababisha wewe lakini) na kama itachukua muda kutwngezewa gari yako basi unapewa jengine uzurure nalo mpaka yako itakapokuwa fixed. Ndo mana nasema hawa bmw gari zao hazipo over priced.... Mi nkiwa na hela mi mwenyewe nahamia bmw, wacha saiv nibangaize na ka lexus is200 in the mean time :-D
 
ni ujinga wa kitanzania gari flan very basic cjui kwa nn wabongo wanashoboka bila sababu! ni baloon tu ya kawaida sema imeitwa brevis basi wabongo wanaona ni kitu cha maana sana!!!

Jiheshimu mkuu brevis na balloon wapi na wapi, D4 vvti na 1G kav
 
brevis ni ugonjwa moyo. kwa gari dogo kama hiyo with a cc 2500 engine capacity ni kujipa garama za ziada

Huo ni mtazao wako tu kama unataka yenye cc chache nunua suzuki carry cc 650..na sio bravis tu pia mark 2 grand zipo cc 2500
 
eeeh eh! tena? vitu tofauti kabisa, halafu kodi tu ya toureg unapata brevis mbili!!
wabongo tuna kawaida ya kununua vitu kwa mkubo, ikivuma gari fulani basi woote!

We nae una mawazo ya kiswaazi kwani ni nin maana ya fasion?
 
BF244500_472be7.jpg


toyota_brevis_a1213704004b1822111_orig.jpg

1355445977_b52c6.jpg


The Toyota Brevis is a mid-sized luxury sedan introduced in May 2001 and sold only in Japan. The Brevis has some styling cues from the Lexus LS 430. The Brevis had been discontinued in 2007. Sales started in June, 2001. The cars finishing gives composure and a feeling of luxury although performance wise it is similar to the Progres and both having similar medium size bodies.

IMG-1647-brevis-1274708513.jpg


Kwa kifupi inavutia ni la ukubwa wa kati na lilitengenezwa kati 2001 hadi 2007 kwa soko la Japan tu. Halitengenezwi tena kwa hio angalia undeshaji na matengenezo yake
 
Mi nawashangaa mkisema utawapumulia mabasi kwa nyuma, hivi, hata nikiwa na gx100 yangu, kuna basi gani la kucheza mbele yangu, ile ni machine bhana sema sijawahi kupata ligi ya brevis, mark x au alteeza

Aaah gx 100 cna hakika aisee..me nikiwa na gx 110 vvti cc 2500 nimeshafanya ligi na bus kutoka dar to moro bus inasubiri tena nkapotezaa BMW X5 tulienda sawa
 
Aaah gx 100 cna hakika aisee..me nikiwa na gx 110 vvti cc 2500 nimeshafanya ligi na bus kutoka dar to moro bus inasubiri tena nkapotezaa BMW X5 tulienda sawa

Sipendi jinsi BMW X5 inavyokaa na matairi yake.
Hili tatizo hata RAV4 wanalo kwenye magari yao.
 
Aaah gx 100 cna hakika aisee..me nikiwa na gx 110 vvti cc 2500 nimeshafanya ligi na bus kutoka dar to moro bus inasubiri tena nkapotezaa BMW X5 tulienda sawa
Duh, BMW X5 ni level nyingine mkuu. Labda kama ulimkuta hataki ligi maana ile kitu ina speed ya 240 au 260 na huwa inakamua inamalizaaaa tena ikiwa stable kama kawa..
 
Wajeru wanatoa gari za uhakika, ni kweli unayosemayo, ukitumia right parts ata kama utaingia gharama lkn utadumu nayo, lakini sijui utie oil filter ya buku 5, gari yenyewe itanuna na kuanza kukutia mashoti.

Halafu bimmer kama ina warranty ndo utaenjoy hasa. Bro wangu alikua na bimmer 2008 kipindi icho, ikamsumbua, yaani kitu unawacall kwenye dashboard ya gari wanajua ulipo na wanakufata apo apo kukutengezea gari na sio uwafate wewe, tena kama ipo na warranty inasumbua unapewa service bure ya kutengezewa (sio kwa matatizo ulosababisha wewe lakini) na kama itachukua muda kutwngezewa gari yako basi unapewa jengine uzurure nalo mpaka yako itakapokuwa fixed. Ndo mana nasema hawa bmw gari zao hazipo over priced.... Mi nkiwa na hela mi mwenyewe nahamia bmw, wacha saiv nibangaize na ka lexus is200 in the mean time :-D

Sio BMW pekee ni magari mengi ya Europe wanatoa huduma hizo.
Kitanzania, Bimmer ni gharama ila ni uhakika sana.
 
Torque kubwa inamaana nguvu ni kubwa sio? And viceversa is also true.

Torque kubwa maana yake unaondoka kwa speed kubwa na kwa haraka sana lakin kama horsepower yako ni ndogo basi baada ya mda kidogo mwy horsepower kubwa anakuwacha mbali! Kuna torque na horsepower!
Anagalia drag race utaona kuna magari yanawai kuchanganya mapema lakin nilinashindwa kumaliza na kupitwa na lingine
 
Naomba kuuliza kuna engine moja ya toyota maarufu sana napenda kujua kama inaweza patikana bongo na shilingi ngapi TOYOTA 2JZ-GTE NA GEAR BOX YAKE MANUAL
 
Torque kubwa maana yake unaondoka kwa speed kubwa na kwa haraka sana lakin kama horsepower yako ni ndogo basi baada ya mda kidogo mwy horsepower kubwa anakuwacha mbali! Kuna torque na horsepower!
Anagalia drag race utaona kuna magari yanawai kuchanganya mapema lakin nilinashindwa kumaliza na kupitwa na lingine

Asante mkuu, nimekupata.

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom