Toyota Brevis zina nini cha ziada?

Toyota Brevis zina nini cha ziada?

Naomba kuuliza kuna engine moja ya toyota maarufu sana napenda kujua kama inaweza patikana bongo na shilingi ngapi TOYOTA 2JZ-GTE NA GEAR BOX YAKE MANUAL

Nadhani the best way ni kuagiza dubai au japan.
Kwa bongo zimechakachuliwa au zimetumika sana.
Au kajaribu kuwaangalia wale authorised service providers under toyota.
Unaweza kupata kitu kipya kimechomolewa sehemu.
 
  • Thanks
Reactions: mk4
Inatulia sana barabarani.nimetembelea safari ndefu majuzi hapa.mafuta inatumia vizuri Sana.
 
Watanzania wengi wanapenda kuongea Maneno ya kukalili....kila mtu anasema Brevis inabugia mafuta swali umeshawahi kuimiliki au umekopi kutoka Kwa watu....Mimi natumia Brevis iko poa sana na ulaji wake mafuta ni Wa kawaida Kwa ukubwa kWa uwezo wake Wa injini....una cc 2500 unaweka mafuta ya 10000 lazima uone linabugia....kifupi acheni kuongea uongo Brevis ni Gali kama Gali zingine na zinakula mafuta Kwa uwezo Wa ukubwa Wa mashine yake kama bahili nunua bajaji maisha yaendelewe...acheni uoga😒
 
Hiyo brevis ina match na gari zimeingia sana mjini sasa hivi ni progress nzuri sana zina uwezo kama wa benz na system yake ni kama ya benz wajapan wamecopy
 
Sipendi jinsi BMW X5 inavyokaa na matairi yake.
Hili tatizo hata RAV4 wanalo kwenye magari yao.

Kivipi mkuu hebu justify kidogo hapo, maanake BMW X5 ni mchezo mwingine, esp that of 2010 model i love it.
 
Tatizo watu wanazarau sana gari ya kijapan na kusifia sijui benz au bmw lakin mjapan ndio anauza.sana magari dunia zima kuliko hao wazur,alafu kuna magari ya kijapan ambayo yanabei sana kuliko izo benz na bmw mfano gari kama toyota supra au nissan gtr ni magari mazuri sana sema bongo hakuna coz hamuwezi nunua achana na mjapan ww,benz au bmw ni ushamba wa wabongo tu lakin kuna magari mengi ya japan yanauwezo mkubwa kuliko izo za Europe
 
Ulishawahi kuona matairi ya rav4 jinsi yanavyokuwa slanted?

toyota_rav4ev_ebay!VRR.jpg 2011_Toyota_RAV4_--_NHTSA.jpg
Rav 4


2010-Hartge-BMW-X5-Beau-de-Beckingen-Rear-1024x768.jpg 15349_2010-BMW-X5-Premium-Package-Black.JPG bmw_x5_3d_us_1.jpg
BMW X5
 
naombeni wasifu wa mark x compared to other cars mostly hizi zisizokula sana mafuta
 
Tatizo watu wanazarau sana gari ya kijapan na kusifia sijui benz au bmw lakin mjapan ndio anauza.sana magari dunia zima kuliko hao wazur,alafu kuna magari ya kijapan ambayo yanabei sana kuliko izo benz na bmw mfano gari kama toyota supra au nissan gtr ni magari mazuri sana sema bongo hakuna coz hamuwezi nunua achana na mjapan ww,benz au bmw ni ushamba wa wabongo tu lakin kuna magari mengi ya japan yanauwezo mkubwa kuliko izo za Europe

Unachanganya mambo naona...kuuza sana kwa magari ya kijapan hakumaanishi ni bora kuliko Benz na BMW. Kunaweza kumaanisha jambo moja kuu: unafuu wa magari ya kijapan kwa bei ya kununua na matunzo baada ya kununua. Huku kunapelekea watu wengi duniani (kumbuka middle income earners ndiyo wengi duniani) kuyanunua, pengine siyo kwa kuwa wanapend hivyo, ila kwa kuwa ndiyo wanayomudu kutokana na uwezo wao.

Ukienda nchi zenye watu wengi wenye uwezo mkubwa, magari ya kijapan ni ya kuhesabu. Mfano, Switzerland, Norway, Luxembourg etc.

Ila ukitaka gari ambayo utakaa nayo milele kama ukizingatia service vizuri, gari za mjerumani na hata mwingereza huzikosi mazee.
 
Mmmhhhhhh napita wazee...... Mi sijazaliwa kwenye familia yenye Magari..... Hapo najionea chenga tu...... Naelewa majina tu ya Magari vingine vyote zengwe...... Mpaka nikimiliki hari langi ndo ntafuatiliaga hizi mambo..... Endeleeni wakuu
 
Mmmhhhhhh napita wazee...... Mi sijazaliwa kwenye familia yenye Magari..... Hapo najionea chenga tu...... Naelewa majina tu ya Magari vingine vyote zengwe...... Mpaka nikimiliki hari langi ndo ntafuatiliaga hizi mambo..... Endeleeni wakuu

mchango wako umetusaidia nini kwenye kuijua Toyota brevis.
 
Unachanganya mambo naona...kuuza sana kwa magari ya kijapan hakumaanishi ni bora kuliko Benz na BMW. Kunaweza kumaanisha jambo moja kuu: unafuu wa magari ya kijapan kwa bei ya kununua na matunzo baada ya kununua. Huku kunapelekea watu wengi duniani (kumbuka middle income earners ndiyo wengi duniani) kuyanunua, pengine siyo kwa kuwa wanapend hivyo, ila kwa kuwa ndiyo wanayomudu kutokana na uwezo wao.

Ukienda nchi zenye watu wengi wenye uwezo mkubwa, magari ya kijapan ni ya kuhesabu. Mfano, Switzerland, Norway, Luxembourg etc.

Ila ukitaka gari ambayo utakaa nayo milele kama ukizingatia service vizuri, gari za mjerumani na hata mwingereza huzikosi mazee.


Nchi inayonunua magari sana kuzidi nchi zote dunia na inategeneza magari mengi sana kuliko nchi yoyote dunia lakin wananunua sana magari ya japan zaid?sasa nakushangaa ww
[TABLE="width: 314, align: center"]
[TR]
[TD="width: 314, colspan: 4"]2014 best selling car brands U.S.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Rank[/TD]
[TD="align: center"]Make[/TD]
[TD="align: center"]2014[/TD]
[TD="align: center"]Car share[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]1[/TD]
[TD]Toyota[/TD]
[TD] 1,085,924[/TD]
[TD="align: right"]13.7%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]2[/TD]
[TD]Chevrolet[/TD]
[TD] 880,683[/TD]
[TD="align: right"]11.1%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]3[/TD]
[TD]Honda[/TD]
[TD] 793,026[/TD]
[TD="align: right"]10.0%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]4[/TD]
[TD]Nissan[/TD]
[TD] 789,898[/TD]
[TD="align: right"]10.0%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]5[/TD]
[TD]Ford[/TD]
[TD] 762,545[/TD]
[TD="align: right"]9.6%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]6[/TD]
[TD]Hyundai[/TD]
[TD] 570,505[/TD]
[TD="align: right"]7.2%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]7[/TD]
[TD]Kia[/TD]
[TD] 420,202[/TD]
[TD="align: right"]5.3%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]8[/TD]
[TD]Volkswagen[/TD]
[TD] 333,785[/TD]
[TD="align: right"]4.2%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]9[/TD]
[TD]Subaru[/TD]
[TD] 282,052[/TD]
[TD="align: right"]3.6%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]10[/TD]
[TD]Dodge[/TD]
[TD] 282,033[/TD]
[TD="align: right"]3.6%[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

tafuta haya magari ya kijapani hutataka european car,nissan gt-r na skyline,toyota supra,mistubishi evo na subaru wrx sti hapo benz au bmw hangusi moto huo

kuna ule ushamba wa watu utasikia anaendesha benz atakuwa naela sana,kumbe izo benz ni bei ya kwaida sana sema ushamba tu wa wabongo wengi
 
Nchi inayonunua magari sana kuzidi nchi zote dunia na inategeneza magari mengi sana kuliko nchi yoyote dunia lakin wananunua sana magari ya japan zaid?sasa nakushangaa ww
[TABLE="width: 314, align: center"]
[TR]
[TD="width: 314, colspan: 4"]2014 best selling car brands U.S.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Rank[/TD]
[TD="align: center"]Make[/TD]
[TD="align: center"]2014[/TD]
[TD="align: center"]Car share[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]1[/TD]
[TD]Toyota[/TD]
[TD] 1,085,924[/TD]
[TD="align: right"]13.7%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]2[/TD]
[TD]Chevrolet[/TD]
[TD] 880,683[/TD]
[TD="align: right"]11.1%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]3[/TD]
[TD]Honda[/TD]
[TD] 793,026[/TD]
[TD="align: right"]10.0%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]4[/TD]
[TD]Nissan[/TD]
[TD] 789,898[/TD]
[TD="align: right"]10.0%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]5[/TD]
[TD]Ford[/TD]
[TD] 762,545[/TD]
[TD="align: right"]9.6%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]6[/TD]
[TD]Hyundai[/TD]
[TD] 570,505[/TD]
[TD="align: right"]7.2%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]7[/TD]
[TD]Kia[/TD]
[TD] 420,202[/TD]
[TD="align: right"]5.3%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]8[/TD]
[TD]Volkswagen[/TD]
[TD] 333,785[/TD]
[TD="align: right"]4.2%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]9[/TD]
[TD]Subaru[/TD]
[TD] 282,052[/TD]
[TD="align: right"]3.6%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]10[/TD]
[TD]Dodge[/TD]
[TD] 282,033[/TD]
[TD="align: right"]3.6%[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

tafuta haya magari ya kijapani hutataka european car,nissan gt-r na skyline,toyota supra,mistubishi evo na subaru wrx sti hapo benz au bmw hangusi moto huo

kuna ule ushamba wa watu utasikia anaendesha benz atakuwa naela sana,kumbe izo benz ni bei ya kwaida sana sema ushamba tu wa wabongo wengi


Huu mzigo tunauitaga sizitaki mbichi izi
 
Mshana kashajibu, target group


Hujiulizi kwa nini dar wanapenda brevis, arusha wanaziita slow vehicles ivo wanapendelea subaru models, na iringa wanapendelea Verossa?
Nijuavyo kila mtu usifia chake ndio maana hata mwenye vitz akija hapa atasema machine yake ni hatari barabarani.
 
Back
Top Bottom