Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,930
- 92,171
.........miaka ya nyuma ilikuwepo mzibo.net ---> bongoflava kibao ! Swahili hiphop music from Tanzania..
Hahaaasi umfafanulie ni ushoga na usagaji
Jamani hands down..Ruge is a Genius
Mofo...Huyu nshomile kweli yuko creative..haya wakati mkilalamika na kuangaika yeye hutumia good marketing skills ambazo pia kasomea..anawaibia behind the scenes sasa mkito ni project ambayo Ruge hau clouds iko fully involved..
Na ukichek wasanii ambao wako signed 99.5% ni THT..including Dangote aka Platnumz ambaye yuko signed and management by Ruge..and not babu tale na wengine kama wanavyozuga..inshort Tale and em all do the dirty job..the man behind signs and laughs all the way to the bank..all these us meetings za Dangote,kumeet mr President,all major endorsement ni Ruge..haya sasa wale wanaoendelea kuiponda clouds na kusema jamaa mnyonyaji wasubiri sana.
Haya Zamaradi.
Mkuu LBG with due respect,una uhusiano na LBTG??!!
Nauliza tu ila kama huna basi tafakari kuachana na hiyo id yako,kiroho safi tu Mkuu kwani iko very close na mambo tata!!
Ha ha ha imenibidi nicheke
Votre une lesbienne en effet
qui je suis lesbienne...
Zamaradi ndiye anayepagawa sana kuhusu Rugay. Hata akimwona kasimama na MARTIN KADINDA,anakuwa na wivu kwamba usingizi wake utachukuliwa.