Tovuti (Website) mpya Serikali

Hapo sasa wameamua... pale mwanzo ilikuwa aibu noma... hii kitu iko standard sana
 
I hope we should comment on this new website..

TOVUTI KUU YA SERIKALI: Welcome
9-2-2013 9-03-00 AMjf.png

  • Ni nzuli tena kwa lugha zote mbili kiingereza na kiswahili.
  • Changa moto (ama angalizo) iliyopo ni iwe inafanyiwa updates mara kwa mara,isije ikatelekezwa, maana hili ni tatizo la website nyingi za serikali na wizara tofauti tofauti, kutofanyiwa updates mara kwa mara na kwa wakati .
 
Iko poa

Ila nadhani page loading kama iko slow...hasa nilipo fungu web ya pccb
 
Kumbe walikuwa wanaweza, angalao sasa unaweza kusema tuna watu serious!
 
sio mbaya mwazno mzurii!!!,tusije kusikia imekuwa hacked tu maana kuna kipindi kama vile website za wizara zilikuwa zinashindana kuwa hacked
 
nimeipenda na hasa content zake. Lakini updates za mara kwa mara zahitajika ili iwe inaendana na wakati.
 
Japo inaonekana nzuri lakini tofauti hizi hapa wahusika wazirekebishe: ZABUNİ inapaswa iwe ZABUNI, AJİRA inapaswa iwe AJIRA, MATUKİO iwe MATUKIO na halikadhalika WASİFU iwe WASIFU. Nadhani herufi I, kwa Kiswahili na pia Kingereza inakua na nukta endapo tu iko katika herufi ndogo (lower case) na si katika hali ya u-herufi kubwa (Capital letter). Ingawa inakuwa hivyo katika baadhi ya lugha kama Kituruki.
 
Kwa kweli wamejitahidi sana hata dispensari zipo na shule za msingi hata Mahakama za mwanzo ila wametumia google map. Shida ni kwamba address za dispensari ni za ukweli?
 
Back
Top Bottom