Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 636
- 540
- Thread starter
- #21
Nimepata hamasa ya kufanya hichi kilimo cha nyanya. Ningependa kujua kama nyanya ili kustawi zinahitaji udongo wa aina gani? Eneo kama Kibaha is it favourable?
Kwa mbegu hii unaweza panda nyanya na zikastawwi maeneo yote katika nchi hii. Mfano hilo shamba langu kwenye hiyo video hapo juu liko kibaha. Kwa wale walioko dar udongo wa wa dar na kibaha ni sawa tu kwa kilimo cha kisasa