Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 932
Huyo mwenye Green asijekuwa malaika katoroka mbinguni
hahah, ama kweli wanaume mnajua kusifia wanawake, siku moja nisifie na mimi hivyo basi!
Huyo mwenye Green asijekuwa malaika katoroka mbinguni
Bongo tumezidi :wink2::wink2: uzuri :rain:
mkuu unanikumbusha ADDIs ababa... yani acheni mungu aitwe mungu bana toto za haja sema wengi reception ndio zinachanganya ila shepu zio kihivyo
Nimekubali, kila shetani na mbuyu wake!
Mkuu AK-47, NDO USHAFIKA BEI HAPO?...du...!:A S 13:
Mambo ya Uswazi haya!
NItakuja kumtest kabisa nione kama msupuu...kama huyuWakizeeka wanakuwa wabaya sana.
Mie ilibidi wangu nimuache baada ya kuona anapoteza uzuri kwa speed ya Kikwete anapochakachuwa.
Ila lazima nikiri kuwa NILIFAIDI.
Wee Shemeji Yo Yo, waangalie tu hao na uwahi bafuni.
Wenyewe tutakula ndizi zetu wakati akina Yo Yo mmefaidi ganda kwa Macho, hahahaa 🙂
Looo, Life's Good. Sasa natafuta Wa-Asia. Niko mbioni kufukuzia Mhindi na Kimacho.
Nikifanikiwa, basi ntakuita Yo Yo, uje utowe Max. Ila usimchunguze sana Kikwapa.
Mbona wote wembamba mnapendezewa nanini hapo jamaniiiiiiiiiii!!
hahah, ama kweli wanaume mnajua kusifia wanawake, siku moja nisifie na mimi hivyo basi![/QUOT
Nitafanya hivyo usikonde
Tatizo hizi totoz zimekeketwa,hiyo ndio jadi yaoHizi totozi ni tamu wajameni.....ziko cool hazina mapepe na ile inglishi yao raha tupu...ukitaka mfaidi vizuri mnyeshe wine au Amarula.....
![]()
Ningekuwa raisi huyu ningempa ubunge viti maalum.....afu nampa ukurugenzi wa safari zangu za nje....
![]()
![]()
![]()
unawaona walivyokaa kaa macho pimaa wakisaka wazungu
Tatizo hizi totoz zimekeketwa,hiyo ndio jadi yao
bwahahaha tatizo ya angel lola luv kitu yake hiyo ya bandia.....cheki hii kitu....hapo kati kati ya miguuAngel Lola Luv kwa kweli ni mtoto poa.
Hiyo Silcon yake kwenye Makalio, ilikubali kweli kweli.
Uzuri upo, ahhh..... Akina 50 Cents wanamgombania tu atokee kwenye Clip zao.
Jina lake hasa anaitwa: Freshgenet Melaku
![]()