Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Heshima zenu wakuu.
wale wataalam wa mambo haya,nisaidieni. Laptop yangu aina ya hiyo nilipata nayo ajali,screen yake ikapasuka. Sikuitumia kwa muda wa miezi 5 ikiwa off,baadaye nilifanikiwa kuireplace ile screen,lakini since then imekuwa slow mno...capacity yake ni kubwa na sija- install na ku-save vitu vingi,..nifanyeje?
Asanteni.
wale wataalam wa mambo haya,nisaidieni. Laptop yangu aina ya hiyo nilipata nayo ajali,screen yake ikapasuka. Sikuitumia kwa muda wa miezi 5 ikiwa off,baadaye nilifanikiwa kuireplace ile screen,lakini since then imekuwa slow mno...capacity yake ni kubwa na sija- install na ku-save vitu vingi,..nifanyeje?
Asanteni.