Toshiba satellite a665

Julius Kaisari

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
1,176
675
Heshima zenu wakuu.
wale wataalam wa mambo haya,nisaidieni. Laptop yangu aina ya hiyo nilipata nayo ajali,screen yake ikapasuka. Sikuitumia kwa muda wa miezi 5 ikiwa off,baadaye nilifanikiwa kuireplace ile screen,lakini since then imekuwa slow mno...capacity yake ni kubwa na sija- install na ku-save vitu vingi,..nifanyeje?
Asanteni.
 
Ina OS gani version ipi?

  • Soma kwenye computer properties gani CPU SPEED na RAM. isije ikawe kwenye kubadilisha screen fundi alisahau kurudisha RAM
  • Vile vile nend. kwenye computer managament then event viewer cheki kama kuna abnornal system event zozote zenye red alert
  • jaribu pia kufanya pia Disk defragmentation
  • Cheki pia ikiwaka kwenye task manager ni % ya CPU inatumika na una idadi ya Process ngapi zinaanza automatically. Process gani zinatumia kiasi ibubwa cha CPU na RAM. Kama inapokuwa slow CPU inaonekana ni zaidi ya 90 au hata 100%. Stopisha baadhi ya process zisizo za muhimu.
Unatumia antivrus gani? na je iko update
 
Ina OS gani version ipi?

  • Soma kwenye computer properties gani CPU SPEED na RAM. isije ikawe kwenye kubadilisha screen fundi alisahau kurudisha RAM
  • Vile vile nend. kwenye computer managament then event viewer cheki kama kuna abnornal system event zozote zenye red alert
  • jaribu pia kufanya pia Disk defragmentation
  • Cheki pia ikiwaka kwenye task manager ni % ya CPU inatumika na una idadi ya Process ngapi zinaanza automatically. Process gani zinatumia kiasi ibubwa cha CPU na RAM. Kama inapokuwa slow CPU inaonekana ni zaidi ya 90 au hata 100%. Stopisha baadhi ya process zisizo za muhimu.
Unatumia antivrus gani? na je iko update
Sawa mkuu,
os ni Wibdow 7 Home premium
intel(R) core (TM) i7 cpu Q 740@1.73Ghz
Ram 4.00 GB (1.93 GB usable)
64- bit operating system
antivirus ni Kaspersky,
 
Sawa mkuu,
os ni Wibdow 7 Home premium
intel(R) core (TM) i7 cpu Q 740@1.73Ghz
Ram 4.00 GB (1.93 GB usable)
64- bit operating system
antivirus ni Kaspersky,


Ok sasa hiyo ni bomba kabisa . RAM 4GB ni mre than enaough .Sasa fanya observation unapowasha na inapokuwa slow
  • matumizi ya CPU na RAM yyanakuwaje kwa parcentage?
  • Process gani tatu au nne kuu zinakula memory kiasi kikubwa?
Kama mashine inapokuwa slow CPU usage % inakuwa ndogo( eg below 70%) basi tatzio laweza kuwa la HARDWARE eg HDD. Hapa nitakushauri chunguza computer management check event log za system zinasemaje zinaweza kuwa na kidokezo muhimu

Kama inapokuwa slow CPU inaonyesha iko usage kwa 80 au 90 na zaidi basi kuna process fulani na probally virus au bug kwenye appplication unazotumia zinakula reosuces sana zaidi ya inavyotakikana. yaani tatizo itakuwa SOFTWARE


Kitu kingine cha muhimu nilichosahau hiyo slow ni ya nini hasa ?
Kama ni slow ya kwenye mtandao wa internet inaweza isiwe tatizo la mashine . Ni suala la QoS la network ya ISP. Laini kma ni slow kwenye mambo ya Msword basi endelea kuchunguza tatizo
 
Ok sasa hiyo ni bomba kabisa . RAM 4GB ni mre than enaough .Sasa fanya observation unapowasha na inapokuwa slow
  • matumizi ya CPU na RAM yyanakuwaje kwa parcentage?
  • Process gani tatu au nne kuu zinakula memory kiasi kikubwa?
Kama mashine inapokuwa slow CPU usage % inakuwa ndogo( eg below 70%) basi tatzio laweza kuwa la HARDWARE eg HDD. Hapa nitakushauri chunguza computer management check event log za system zinasemaje zinaweza kuwa na kidokezo muhimu

Kama inapokuwa slow CPU inaonyesha iko usage kwa 80 au 90 na zaidi basi kuna process fulani na probally virus au bug kwenye appplication unazotumia zinakula reosuces sana zaidi ya inavyotakikana. yaani tatizo itakuwa SOFTWARE


Kitu kingine cha muhimu nilichosahau hiyo slow ni ya nini hasa ?
Kama ni slow ya kwenye mtandao wa internet inaweza isiwe tatizo la mashine . Ni suala la QoS la network ya ISP. Laini kma ni slow kwenye mambo ya Msword basi endelea kuchunguza tatizo
Naam, umenikatia shule ya kutosha kiongozi wangu...i think tatizo linatakuwa ndani ya suggestd procedures.. tatizo mie mchumi, mambo ya fani hii nafikiri nahitaji msaada zaidi..NYW, nakushukuru.. ntaku-pm kwa msaada zaidi.
 
Back
Top Bottom