Top3 ya chitchat

Top3 ya chitchat

Kanuni kuu 3 za pombe za kukumbuka daima
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini

Pombe usipoiweza bora uiache tuu mkuu! Toka mjomba wangu, sasa ni marehemu kuna siku tupo kijijini, kapiga vitu akaaga kwenda kalala, akaenda kulala jikoni, akazima, haja kubwa na ndogo hapo hapo.
Alfajiri mimi, nilipewa kazi ya kuchinja mbuzi, niamke nikachukue visu jikoni, namkuta ankoli, amezima na uso wake upo juu ya haja kubwa!
Ilibidi nichukue jukumu la kumuepusha ankoli na aibu ile kabla watu hawajaamka. 😁Nikamwamsha, nikampeleka migombani chap, mpa maji aoge na mimi nikasafisha jiko. Bibi anaamka, akanisifia sana kusafisha jiko.
Hiyo ikabaki siri yangu mpaka leo. 😁
 
Yaan badala ya kwenda home. Nimepita kupooza mwili. Aaagh. Ujinga mwingine bana.
20260511_190314.jpg

Anyway mm sijapoteza Mill 40. Napooza tu rejeta.

Kwahiyo Msiwe na wasiwasi. Sizingui mtu😊😊😊😊
 
Pombe usipoiweza bora uiache tuu mkuu! Toka mjomba wangu, sasa ni marehemu kuna siku tupo kijijini, kapiga vitu akaaga kwenda kalala, akaenda kulala jikoni, akazima, haja kubwa na ndogo hapo hapo.
Alfajiri mimi, nilipewa kazi ya kuchinja mbuzi, niamke nikachukue visu jikoni, namkuta ankoli, amezima na uso wake upo juu ya haja kubwa!
Ilibidi nichukue jukumu la kumuepusha ankoli na aibu ile kabla watu hawajaamka. 😁Nikamwamsha, nikampeleka migombani chap, mpa maji aoge na mimi nikasafisha jiko. Bibi anaamka, akanisifia sana kusafisha jiko.
Hiyo ikabaki siri yangu mpaka leo. 😁
namkuta ankoli, amezima na uso wake upo juu ya haja kubwa!🥺🥺🥺🙌🏿🏃🏿😀
 
Ondoka haraka mno hilo eneo

Kuna siku Simba ilitinga Robo fainal CAF. Kwa mara ya kwanza. 2019 ile nadhan. Ile siku nilipombeka sana.
Nilimix Jameson . Aaah ile kitu hapana. Mm siiwez.
Saa 10 alfajiri. Ndio nashtuka kuwa natakiwa kwenda home.
Hapo Najua tu kuwa mm ni mwanaume na natakiwa kurud Home. Ila sasa sikumbuki njia 😂😂😂😂.
Nimetoka Mbezi beach top garage kule. Napandisha Goba. Nakuja kushtuka niko round about ya magufuli😎😎😎 . Yaan km 10 zaid ya kona ya home.😂😂😂😂
Ikabid niulizie watu shel ya karibu . Wakanielekeza nikaenda kupark kamkweche kangu na kulala.
saa 1 asubuh nashtuliwa na masimu.
Ndio pona pona yangu.
 
Kuna siku Simba ilitinga Robo fainal CAF. Kwa mara ya kwanza. 2019 ile nadhan. Ile siku nilipombeka sana.
Nilimix Jameson . Aaah ile kitu hapana. Mm siiwez.
Saa 10 alfajiri. Ndio nashtuka kuwa natakiwa kwenda home.
Hapo Najua tu kuwa mm ni mwanaume na natakiwa kurud Home. Ila sasa sikumbuki njia 😂😂😂😂.
Nimetoka Mbezi beach top garage kule. Napandisha Goba. Nakuja kushtuka niko round about ya magufuli😎😎😎 . Yaan km 10 zaid ya kona ya home.😂😂😂😂
Ikabid niulizie watu shel ya karibu . Wakanielekeza nikaenda kupark kamkweche kangu na kulala.
saa 1 asubuh nashtuliwa na masimu.
Ndio pona pona yangu.
Nina story very current ngoja siku zisogee kwanza😂
 
Back
Top Bottom