Gordita
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 11,562
- 55,537
Polee aiseeaisee ndo nn, umenitoa ktk mud,,,
Polee aiseeaisee ndo nn, umenitoa ktk mud,,,
Yaani Kilimanjaro uilinganishe na Dar ya wala chipsKilimanjaro umeiweka ya nini kwenye list si bora ungeiweka Dar
Kama dar haipo ni uwongo
wanaume wa dar 95% wanatoka mikoa uliyotaja sasa sijui umekwepa nini kwa darninaposema wanaume wa shoka namaanisha wanaume wale magiant,wanaojua kupiga kazi hasa,sio wale wanaoshindia kwenye dressing table na kula chipsi mayai.
list yenyewe ndio kama ifuatavyo
1.Mara
2.Mwanza
3.Shinyanga
4.Arusha
5.Mbeya
6.Geita
7.Tabora
8.Simiyu
9.Kilimanjaro
10.Rukwa
Ondoa, kilimanjaro mara moja
Hii ni mbinu ya kutumaliza sisi wahamiaji wa Dar
Toa sababuOndoa, kilimanjaro mara moja
Kilimanjaro- Rombo ndiko anakotokea mtoa post.Hivi Kule ambako wanawake wanawakimbilia wanaume wa nchi Jirani ni wapi!
Mbeya inabebwa na wanawakeninaposema wanaume wa shoka namaanisha wanaume wale magiant,wanaojua kupiga kazi hasa,sio wale wanaoshindia kwenye dressing table na kula chipsi mayai.
list yenyewe ndio kama ifuatavyo
1.Mara
2.Mwanza
3.Shinyanga
4.Arusha
5.Mbeya
6.Geita
7.Tabora
8.Simiyu
9.Kilimanjaro
10.Rukwa
Ben kinyaia
Mbeya inabebwa na wanawake