MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 33,568
- 53,583
- Thread starter
- #61
tatizo lako wewe ni utanzania, kitu chochote chenye chembe chembe ya utanzania lazima ukosoe tu..!!!
Jadili hoja, wacha sideshow, tatizo lenu mkilemewa hoja mnaanza kujificha nyuma ya nchi ili mpate sympathy kutoka kwa wenzenu. Fuatilia hii mada utaona hata kuna Watanzania wanaukubali huu ukweli. Kiswahili nakipenda, na huwa nahamasisha watoto wangu kukitumia pia pamoja na lugha zingine wanazoweza, lakini tusilazimishe lugha kwa kutumia upotovu na uwongo wa kubadilisha historia.