Ameweza:
1.Kutembelea nchi nyingi kuliko raisi yeyote aliemtangulia
2. Kubembea Jamaica
3. "Kupimwa akili"
Ameshindwa:
1. Kutembelea sehemu za Tanzania (Tanganyika) ambako si ajabu bado wanafikiri Nyerere ndie rais wa Tanzania!
2. Kuonesha mfano kwa kutembelea vivutio vya ndani, zaidi ya kufungua hoteli za kitalii
3. Kupata ufumbuzi wa shida yake ya "akili", jambo ambalo lingekuwa rahisi, kwa KUKAA NYUMBANI