1 Chuo Kikuu cha Dodoma 1. Muafaka wa kisiasa zanzibarAmeweza Ameshindwa
anaeNDElea kuweza.....!!! tumpe muda kidogo zaidi.
Ameweza: Kuziba masikio na kuendelea na safari za nje kwa manufaa anayoyaelewa yeye na walio karibu yake...
Ameshindwa: Kutekeleza kauli mbiu yake ya uchaguzi ya maisha bora kwa kila mtanzania...
Annina
Amefanikiwa:
1. Kurudisha pesa za EPA japo si zote
2. Kujenga shule za sekondari, vituo vya afya na zahanati kwa wingi
3. Kujenga mahusiano mazuri na nchi nyingi duniani
4. Kujenga chuo kikuu cha dodoma
5. Kusimamia mapato ya nchi vizuri
6. Kuweka wanawake wengi kwenye nyadhifa mbalimbali
7. Kuendelea kuimarisha mtandao wa barabara za rami nchini
8. Kutuletea kivuko kimpya pale kigamboni na sehemu zingine
9. Kupeleka mafisadi mahakamani japo si wote
10. Kuhimili msukosuko wa kiuchumi
11. Kuleta muafaka wa kisiasa zenji
N.K .........