Top 10 ya utovu wa nidhamu uliofanywa na mtoto wa kiume ambao umewahi kuushuhudia au kusimuliwa

Haya ya wazazi kutukanwa, kuuliwa na matukio mengine ya kutisha sorce kuu ni mzazi au wazazi wenyewe, (malezi)

kuna mambo huwa na shuhudia kama mzazi huwa nashangaa sana wazazi wenzangu wanavyo lea hawa watoto!!

Siku hizi watoto wanawaendesha wazazi!!! Eti mzazi anafuata matakwa ya mtoto!!!

Imefika mahala mzazi anamuogopa mtoto!!

Tunalea watoto kwa kuwaambia mali tulizonazo, na kuwaahidi urithi tukifa!!

Nimeshuhudia mama mmoja wa makamo akiwindwa kuuwawa na wajukuu na watoto wake mwenyewe wa kuzaa kwenye nyumba yake mwenyewe wakitaka nyumba iuzwe na kale ka msemo kao maarufu "kila mtu apewe chake"

alichokifanya mama wa watu alitafuta mteja secretly, wakafanya biashara akakatiwa tiketi akaenda hija na aliporudi akagawa almost karibia fedha zote kwa ndugu wengine na sio watoto wake mpaka alipouawa na kijana wake wa kiume ambaye hivi sasa na yeye ni marehemu.

Dunia imekuwa ya aajbu sana, inafika mahala tunadanganyana kuwa hakuna sababu ya kuwa na restriction, kwamba tunapaswa kuwa huru ki fikra, nakujisahaulisha lazima fikra zetu kwa baadhi ya mambo ziwe na limitation na restriction!!

Watoto sikuhizi wanaaamua na kushinikiza na mzazi unafuata!!

Ukitaka kujua jinsi ambavyo mzazi huna maaana yoyote kwa mtoto wako,

jiulize:

wewe kama kijana, je unavyo mtreat mzee wako au mama yako ungependa watoto wako wakutreat the same way??

Kuna watu tunamaliza mwezi hata simu kuongea na mzazi wako ni shida, unaona karaha, alafu unajifanya unawapeda sana watoto wako, unasahau na wewe wazazi wako walikupenda hivyo hivyo!!

Sasa subiri na wewe ufikie umri wa uzee kama hao wazazi wako na wewe watoto wako hawa wata kuachwa hivyo hivyo!! Watakua bizy na maisha yao na wewe utakuwa obstacle!!

Tuwafundishe watoto wetu umuhimu wa kuwajali wazazi, kwa kwenda nao kwa wazazi wetu nakuwaonyesha namna tunavyo wajali ili na wao wakikua wakue na spirt hiyo!!

Tubadilike, uzungu kwa afrika unatupeleka shimoni!!
 
Familia za wale vijana walishirikiana kumchangia pesa wakamwambia asepe asionekane lile eneo tena wala mahakamani asihudhurie
Walikuwa wastaarabu sana
Kesi kama hiyo iliwakuta raia kumi na moja jamaa walidumu nyuma ya nondo miaka mitatu kabla ya malalikaji kufa katika mazingira ya kutatanisha kesi kukosa ushahidi na jamaa ndiyo wakaachiwa huru
 
Haya ya wazazi kutukanwa, kuuliwa na matukio mengine ya kutisha sorce kuu ni mzazi au wazazi wenyewe, (malezi)

kuna mambo huwa na shuhudia kama mzazi huwa nashangaa sana wazazi wenzangu wanavyo lea hawa watoto!!

Siku hizi watoto wanawaendesha wazazi!!! Eti mzazi anafuata matakwa ya mtoto!!!

Imefika mahala mzazi anamuogopa mtoto!!

Tunalea watoto kwa kuwaambia mali tulizonazo, na kuwaahidi urithi tukifa!!

Nimeshuhudia mama mmoja wa makamo akiwindwa kuuwawa na wajukuu na watoto wake mwenyewe wa kuzaa kwenye nyumba yake mwenyewe wakitaka nyumba iuzwe na kale ka msemo kao maarufu "kila mtu apewe chake"

alichokifanya mama wa watu alitafuta mteja secretly, wakafanya biashara akakatiwa tiketi akaenda hija na aliporudi akagawa almost karibia fedha zote kwa ndugu wengine na sio watoto wake mpaka alipouawa na kijana wake wa kiume ambaye hivi sasa na yeye ni marehemu.

Dunia imekuwa ya aajbu sana, inafika mahala tunadanganyana kuwa hakuna sababu ya kuwa na restriction, kwamba tunapaswa kuwa huru ki fikra, nakujisahaulisha lazima fikra zetu kwa baadhi ya mambo ziwe na limitation na restriction!!

Watoto sikuhizi wanaaamua na kushinikiza na mzazi unafuata!!

Ukitaka kujua jinsi ambavyo mzazi huna maaana yoyote kwa mtoto wako,

jiulize:

wewe kama kijana, je unavyo mtreat mzee wako au mama yako ungependa watoto wako wakutreat the same way??

Kuna watu tunamaliza mwezi hata simu kuongea na mzazi wako ni shida, unaona karaha, alafu unajifanya unawapeda sana watoto wako, unasahau na wewe wazazi wako walikupenda hivyo hivyo!!

Sasa subiri na wewe ufikie umri wa uzee kama hao wazazi wako na wewe watoto wako hawa wata kuachwa hivyo hivyo!! Watakua bizy na maisha yao na wewe utakuwa obstacle!!

Tuwafundishe watoto wetu umuhimu wa kuwajali wazazi, kwa kwenda nao kwa wazazi wetu nakuwaonyesha namna tunavyo wajali ili na wao wakikua wakue na spirt hiyo!!

Tubadilike, uzungu kwa afrika unatupeleka shimoni!!
Umeongea vizuri mkuu
 
Moja kati ya mada bomba kwa mwaka huu
No.1: Unahumuhusu mzee mmoja msomi na mwalimu wa chuo kikuu. Degree yake ya pili na ya tatu alisomea Uingereza kisha akarudi bongo. Watoto wake alikuwa anawalea kizungu sana. Infact mmoja kati ya watoto wake alikuwa classmate wangu shule ya msingi.

Huyu watoto wake wa kiume kumtukana tusi la mama ilikuwa jambo la kawaida sana.

Watoto wake walikuwa wanaenda kuchukua malaya sinza au mademu wa mtaani wanawagonga usiku kucha halafu ikifika asubuhi demu ana elekezwa aende kugonga chumbani kwa baba apewe hela yake baba akifungua demu anasema anaomba hela alilala na ( jina la mtoto husika ).

Baba akiambiwa hivyo anazama ndani anatoa hela anampa demu kisha anarudi zake kulala.

Source: x wa mmoja kati ya watoto wa mzee huyo ambae aliwahi kuwa demu wangu wa kusafishia rungu.

Wewe umewahi kushuhudia jambo gani? Share with us ur story
 
Kutukana tu ? basi utakiwa hujashuhudia vituko duniani

Kuna jamaa pale iringa amemfanya mama yake ndondocha/taahira ili apate itajiri achilia mbali wanaobaka au kuua mama zao
Nafikili uyu no kavunja rekodi ya watoto wapumbavu toka dunia imeubwa. Hivi unaanzaje kumtukana mama yako tusi kama lile?
 
So sad. Alimuuaje.mama.ake na yeye alikufa kufaje?
Haya ya wazazi kutukanwa, kuuliwa na matukio mengine ya kutisha sorce kuu ni mzazi au wazazi wenyewe, (malezi)

kuna mambo huwa na shuhudia kama mzazi huwa nashangaa sana wazazi wenzangu wanavyo lea hawa watoto!!

Siku hizi watoto wanawaendesha wazazi!!! Eti mzazi anafuata matakwa ya mtoto!!!

Imefika mahala mzazi anamuogopa mtoto!!

Tunalea watoto kwa kuwaambia mali tulizonazo, na kuwaahidi urithi tukifa!!

Nimeshuhudia mama mmoja wa makamo akiwindwa kuuwawa na wajukuu na watoto wake mwenyewe wa kuzaa kwenye nyumba yake mwenyewe wakitaka nyumba iuzwe na kale ka msemo kao maarufu "kila mtu apewe chake"

alichokifanya mama wa watu alitafuta mteja secretly, wakafanya biashara akakatiwa tiketi akaenda hija na aliporudi akagawa almost karibia fedha zote kwa ndugu wengine na sio watoto wake mpaka alipouawa na kijana wake wa kiume ambaye hivi sasa na yeye ni marehemu.

Dunia imekuwa ya aajbu sana, inafika mahala tunadanganyana kuwa hakuna sababu ya kuwa na restriction, kwamba tunapaswa kuwa huru ki fikra, nakujisahaulisha lazima fikra zetu kwa baadhi ya mambo ziwe na limitation na restriction!!

Watoto sikuhizi wanaaamua na kushinikiza na mzazi unafuata!!

Ukitaka kujua jinsi ambavyo mzazi huna maaana yoyote kwa mtoto wako,

jiulize:

wewe kama kijana, je unavyo mtreat mzee wako au mama yako ungependa watoto wako wakutreat the same way??

Kuna watu tunamaliza mwezi hata simu kuongea na mzazi wako ni shida, unaona karaha, alafu unajifanya unawapeda sana watoto wako, unasahau na wewe wazazi wako walikupenda hivyo hivyo!!

Sasa subiri na wewe ufikie umri wa uzee kama hao wazazi wako na wewe watoto wako hawa wata kuachwa hivyo hivyo!! Watakua bizy na maisha yao na wewe utakuwa obstacle!!

Tuwafundishe watoto wetu umuhimu wa kuwajali wazazi, kwa kwenda nao kwa wazazi wetu nakuwaonyesha namna tunavyo wajali ili na wao wakikua wakue na spirt hiyo!!

Tubadilike, uzungu kwa afrika unatupeleka shimoni!!
 
Back in the day's. .Miaka ya 98s Pali kuwa na jamaa 1 hivi ana itwa Mwamba '--wakati huo dingi ali kuwa amehamishiwa kikazi morogoro so familiar yetu ilibidi ihamie moro pia --

Huyo mwamba Alikuwaga ni mlevi mbwa -naweza kusema family yao nzima ilikuwa ni waamuni wa Ulabu kwa sababu Walikuwa wana miliki Bar 1 maarufu kwa wakati huo maeneo fulani hivi karibu na shule ya msingi saba saba...na baba yao alikuwa anazinywa haswaa... Tu-likiwa tumeshazoea kumuona akirejea nyumbani huku akiwa ana yumba na chupa ya pombe mkononi

Sasa bwana siku Moja hivi ambayo nimeisahau Jina. ..Huyu mwamba alikwenda bar akapiga Ulabu vya kutosha -ilipofika mishale ya jioni akawa anajikongoja kurudi nyumbani akiwa ana yumba. ..huku mkononi amebeba chupa ya beer -na mkono mwingine ameshika panga--- safari yake ikaishia nyumbani kwao. ..Alipo fika kwao aka mkuta mama Yake Mzazi. ....'Mwamba akamshikia panga mama yake na kuanza kumwambia kuwa anataka ampe uroda kinyume na hivyo ata muua. ..

Aisee siku hiyo ilikuwa ni bonge la balaa mtaa wote ulijaa watu kibao '' hakuna anaye thubutu kumshika mwamba. .Mwamba alikuwa ni mwamba kweli --- wakaanza Kubishana bishana na mama yake mpaka nje -- walipo fika nje mama yake mwamba aka ona kiti cha chuma akakinyanyua na kutaka kumpiga nacho mwamba kichwani. ..Lakini masikini mama wa-watu kutokana na uzito wa damu akajikuta ana kirejesha kile kiti chini

Daah mwamba bila hata huruma mbele ya kadamnasi akamchota mama yake bonge la mtama ---------------

Roho inaniuma hata kuendelea nashindwa

Aise Jamani kama bado baadhi yetu Wazazi wetu wako Hai. ..Naomba Kila mmoja ajaribu kumpigia simu mzazi wake -Au kama yupo karibu nae Amueleze maneno haya

Nakupenda sana -Mama /baba nisamehe kwa Yale yote Mabaya ambayo nimewahi kukufanyia wakati wa utoto/Ujana wangu

Kuna wazazi walizaa watoto wakidhani kuwa watakuwa watoto lakini bahati mbaya watoto hao wakageuka kuwa nyoka. .
Nyinyi mtakua mlilewa zaid ya huyo Mwamba wako mpumbafu yaani watu wa mtaa mzima mlishindwa kumdhibiti mjinga mmoja aliekua amelewa kweli
Kwa ufupi jamii yetu imekubwa cjui na balaa gani watu wanaona dhulma zinafanyika nawao wakiwa na uwezo wakuzuia lkn hakua anae take action yoyote

RIP binti wa KIU! Mtoto wa miaka 19 kamnyofoa uhai wake kwa 8000 watu wakishuhudia
 
Duh!!!
Watoto au mizimu?
No.1: Unahumuhusu mzee mmoja msomi na mwalimu wa chuo kikuu. Degree yake ya pili na ya tatu alisomea Uingereza kisha akarudi bongo. Watoto wake alikuwa anawalea kizungu sana. Infact mmoja kati ya watoto wake alikuwa classmate wangu shule ya msingi.

Huyu watoto wake wa kiume kumtukana tusi la mama ilikuwa jambo la kawaida sana.

Watoto wake walikuwa wanaenda kuchukua malaya sinza au mademu wa mtaani wanawagonga usiku kucha halafu ikifika asubuhi demu ana elekezwa aende kugonga chumbani kwa baba apewe hela yake baba akifungua demu anasema anaomba hela alilala na ( jina la mtoto husika ).

Baba akiambiwa hivyo anazama ndani anatoa hela anampa demu kisha anarudi zake kulala.

Source: x wa mmoja kati ya watoto wa mzee huyo ambae aliwahi kuwa demu wangu wa kusafishia rungu.

Wewe umewahi kushuhudia jambo gani? Share with us ur story
 
Una ongea vitu kama umekunywa gongo --wakati huo mimi hata miaka 10 sina. .ninge weza vipi kushiriki kufanya hicho unacho kishauri. ...?
Nyinyi mtakua mlilewa zaid ya huyo Mwamba wako mpumbafu yaani watu wa mtaa mzima mlishindwa kumdhibiti mjinga mmoja aliekua amelewa kweli
Kwa ufupi jamii yetu imekubwa cjui na balaa gani watu wanaona dhulma zinafanyika nawao wakiwa na uwezo wakuzuia lkn hakua anae take action yoyote

RIP binti wa KIU! Mtoto wa miaka 19 kamnyofoa uhai wake kwa 8000 watu wakishuhudia
 
Kuna scenario moja niliwahi hadithiwa. Vijiweni huko, kumhusu maza mmoja na mwanaye.

Huyu mama alikuwa ni single maza, kipindi anapata mimba ya mume wa mtu, familia ilishinikiza aitoe hiyo mimba. Kwa kuwa naye alikuwa hajui kuwa alikuwa mume wa mtu, alikuwa heart broken sana, family inamsaliti asiopo toa mimba itamtenga, na huyo mwanaume alimdanganya sana.

Alichoamua ni ku struggle, alone na upendo woote alihamisha kwa mimba hatimaye ikazaa mtoto wa kiume, ndipo akahamia mtaa huu wa kwetu.

Alikuwa anampenda sana, mwanawe aisee, kamlea kisasa sana, alikuwa hataki kukaa mbali na mwanaye kabisa, muda ambao wanatengana ni ule tu, dogo akiwa shule na yeye kazini, muda wa kutoka ata mfata na kurudi wote home. ,

Alikuwa rafiki kwake, na kila kitu. Alikuwa akilala na mwanaye tangu akiwa mdogo. Hadi ukubwan kidi anafika miaka kumi na kitu, ilikuwa mazoea aisee, hajui jinsi ya kuacha hiyo hali.

Dogo, akafika teenage aiseee., hatujui first time ilikuwaje maan hakuna aliyekuwepo usiko huo, lakini Kid akaanza uhusiano na mama yake, yaaani wanakulana mzigo.

Hii ilijukana, maan hakunaga siri dunian, mambo yalikuwa meng ngoj niishie hapa
Duh!
Niliwahi isikia na kuhusika kutatua kesi ya hivi kwa mama mmoja maarufu sana jijini na ikawa siri ya familia, tofauti hapa huyu Kijana alikuwa na ulemavu Wa akili ( mental retarded child) na mama kwakuwa alikuwa anamficha boy ndani jamii isijue alizaa mlemavu Wa akili, boy alipobalehe ikawa hana mahali pa kumalizia ashki na vile retarded hajapelekwa shule akawa anamaliza hamu kwa ***** mzazi, situation ilienda ndipo mama akaja ofisini kuomba ushauri afanyeje kuepukana na hiyo hali..baba Wa mtoto alikuwa ana wake wawili so siku baba hajalala kwa mama huyu Dogo abamalizana na mama .....
 
Back
Top Bottom