Top 10: ya Mikoa iliyoongoza kwa matumizi makubwa ya Umeme 2022:

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
1.Dar es Salaam-2,805.9 GWH

2.Pwani-635.7GWH

3.Arusha-413.9 GWH

4.Shinyanga-411.2 GWH

5.Tanga-408.7 GWH

6. Mwanza-344.5 GWH

7. Morogoro-307.5 GWH

8.Dodoma-249.3 GWH

9.Mbeya-231.5GWH

10.Mara-215.1 GWH

Chanzo: TANESCO/NBS
 
Viwanda vilivyo hai ndio mpango mzima,pwani wana kisanga kwa ajili ya viwanda.
 
Wakati Taifa likiendelea Kukabiliana na Changamoto ya uhaba wa Umeme basi Mikoa hii 10 ndio wanatumia sana maana ndio hutumia umeme zaidi kuliko mingine Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2022.

Mikoa hiyo ni
1.Dar
2.Pwani
3.Arusha
4.Shinyanga
5.Tanga
6.Mwanza
7.Morogoro
8.Dodoma
9.Mbeya
10.Mara.

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1705188838203658494?t=rpjx6zyHo_vQJYYz6MYdHQ&s=19

My Take
Mikoa hiyo pia ndio Ina viwanda na migodi Mikubwa.
20230209_094447.jpg
 
Hizo takwimu hazina msaada kwa mtu anayehitaji umeme.

Kwanini wazilete sasa hivi ?

Watu wamelipia huduma wapewe huduma na sio takwimu zisizo na msaada.

Mbona hawaleti takwimu ya vyombo vinavyotumia umeme walivyounguza kutokana na uzembe wa shirika?

Mbona hawaleti takwimu ya hasara za kiuchumi walizowaletea wanaotegemea umeme kuendesha shughuli zao za kila siku.?

Je waliounguziwa vifaa na waliopoteza fedha kutokana na kushindwa kufanya kazi wadai wapi fidia kwa shirika.?
 
Ndio maana Tanga ni ya muhimu kimkakati kuliko Mwanza.Kwa nini viwanda havikujengwa Mwanza?
Na shinyanya ina umuhimu kuliko mbeya, Tanga, Dodoma na Mwanza, na mikoa yote kutoa Pwani na Dar, ukiangalia kwenye matumizi ya umeme, na mgodi wa Nyanzaga ukianza kufanya kazi na matumiz ya umeme kwa mwanza yakipaa juu maradufu utasema Mwanza ni inaongoza kwa viwanda na muhimu kuliko mikoa yote ukitoa Dar?
N.B maeneo mengi ya Mwanza hayana umeme sio kwamba wananchi hawana uwezo bali serikali haitaki kutufikishia umeme, maeneo yenye umeme ni machache zaidi....viwanda vinazidi kufungwa kwa ukosefu wa umeme🙏🙏🙏
 
Na shinyanya ina umuhimu kuliko mbeya, Tanga, Dodoma na Mwanza, na mikoa yote kutoa Pwani na Dar, ukiangalia kwenye matumizi ya umeme, na mgodi wa Nyanzaga ukianza kufanya kazi na matumiz ya umeme kwa mwanza yakipaa juu maradufu utasema Mwanza ni inaongoza kwa viwanda na muhimu kuliko mikoa yote ukitoa Dar?
N.B maeneo mengi ya Mwanza hayana umeme sio kwamba wananchi hawana uwezo bali serikali haitaki kutufikishia umeme, maeneo yenye umeme ni machache zaidi....viwanda vinazidi kufungwa kwa ukosefu wa umeme🙏🙏🙏
Mikoa ya kimkakati Kwa viwanda ni Shinyanga,Tanga,Arusha,Pwani,Dar, Morogoro na Mbeya.

Mikoa mingine hiyo inabebwa na migodi kama Shinyanga na Mara.

Lakini ukweli unabakia pale pale Mwanza sio Mkoa wa Viwanda na Wala hauna eneo la kutosha kujenga Viwanda.
 
Mikoa ya kimkakati Kwa viwanda ni Shinyanga,Tanga,Arusha,Pwani,Dar, Morogoro na Mbeya.

Mikoa mingine hiyo inabebwa na migodi kama Shinyanga na Mara.

Lakini ukweli unabakia pale pale Mwanza sio Mkoa wa Viwanda na Wala hauna eneo la kutosha kujenga Viwanda.
Hoja yako ni kuwa mwanza haina viwanda au hoja nikuwa Mwanza haina maeneo kwaajili ya uwekezaji wa viwanda? Na kama Mwanza haina viwanda je kiwanda gani ambacho Mwanza hakipo ukitoa kiwanda cha cement?
 
Hoja yako ni kuwa mwanza haina viwanda au hoja nikuwa Mwanza haina maeneo kwaajili ya uwekezaji wa viwanda? Na kama Mwanza haina viwanda je kiwanda gani ambacho Mwanza hakipo ukitoa kiwanda cha cement?
Una matatizo wewe sio bure,Mwanza Kuna kiwanda Cha magodoro? Swala sio aina ipi ya viwanda hamna Bali ni mna viwanda vichache na hamna eneo la kutosha kujenga Viwanda labda muanze kutenga maeneo huko Kwimba nk ila watu ni wengi na sijui mtafidia wangapi
 
Serikali inatuhujumu kwenye usambazaji na uzalishaji wa umeme then mnaleta ngonjera wawekezaji wanataka kuwekeza Mwanza lakini umeme umekuwa mzozo wafanye nini? Wawekezaji wakitaka kuwekeza mwanza wanafanyiwa figisu wawekeze Pwani au Dar.. Hii nchi ngumu sana.
 
Una matatizo wewe sio bure,Mwanza Kuna kiwanda Cha magodoro? Swala sio aina ipi ya viwanda hamna Bali ni mna viwanda vichache na hamna eneo la kutosha kujenga Viwanda labda muanze kutenga maeneo huko Kwimba nk ila watu ni wengi na sijui mtafidia wangapi
Magodoro ya super banco yanatoka wapi? Kuwepo na pamba alafu kiwanda cha magodoro kisiwepo... Naona una matatizo sio bure.
 
Serikali inatuhujumu kwenye usambazaji na uzalishaji wa umeme then mnaleta ngonjera wawekezaji wanataka kuwekeza Mwanza lakini umeme umekuwa mzozo wafanye nini? Wawekezaji wakitaka kuwekeza mwanza wanafanyiwa figisu wawekeze Pwani au Dar.. Hii nchi ngumu sana.
Kuishi na Wasukuma ni kazi sana,iwahujumu Kwa lipi?
 
Singida na Tabora ni ukubwa Wa bure, wanyantuzu Huko simiyu Naona Bado vibatari vinatawala.
 
Kwahiyo sisi Kilimanjaro ndio wa 11? Yani umeme wetu tunatumia kuwashia taa tu? Dah
 
Back
Top Bottom