Top 10 ya blogs/websites za habari zinazotazamwa sana Tanzania, JamiiForums yaongoza

Ndio mfuko gani huo boss


kama una blog au website, bas ukijiunga na google adsense utapata matangazo kwenye website yako ambayo yatakuingizia dollar pale mtu atapoyabonyeza au unapopata views nyingi na dollar zinapanda. mwisho wa siku unaenda kutoa dollar zako kwa western union bila makato wala nini dolllar zile zile ulizovuna.
 
Hii ni Kutokana na Mtandao wa Alexa Siku ya Leo, Nimechambua zile za Tanzania tu kuacha zile za nje kama facebook, Instagram na zingine nyingi za nje...

Msimamo wa ligi uko hivi:

1.Jamiiforums.com
2.Zoomtanzania.com
3.Millardayo.com
4.Mwananchi.co.tz
5.Ajira.go.tz
6.Tra.go.tz
7.Mpekuzihuru.com
8.Tanzaniatoday.co.tz
9.Kupatana.com
10.Udakuspecially.com
Jf nisingeiona kwenye namba moja ningeandamana
 
kama una blog au website, bas ukijiunga na google adsense utapata matangazo kwenye website yako ambayo yatakuingizia dollar pale mtu atapoyabonyeza au unapopata views nyingi na dollar zinapanda. mwisho wa siku unaenda kutoa dollar zako kwa western union bila makato wala nini dolllar zile zile ulizovuna.
Kamoooooniiiiii, alaaaaa, Asante Bosi
 
Usingeiweka JAMII FORUMS namba MOJA ungenisababishia BAN sasa hivi! Bahati yako ila pongezi sana kwani JAMII FORUMS ndiyo namba MOJA na wengine wanafuata. Vizuri sana Mkuu na kula gwala langu!
Asingeiweka, au isingekuwemo?
Kama kaweka yeye basi nafuta kuikubali.
 
Bongo movies na bongo 5. Mbona kama na wenyewe wapo juuu sana awa jamaa
 
kwa list hiyo inaonyesha kuna ukosefu mkubwa wa ajira Tanzania maana kati ya hizo blog 10,za habari zinazohusu ajira 2 zinahusiana na ajira moja kwa moja
Ajira sio kufanya benki tuuu, hata katika tasnia ya entertainment ni ajira, njoo uone waindi walivyowekeza katika Video films. Wanapiga pesa nyingi. Kwa iyo ili pesa ipatikane inatakiwa itengenezwe kama skendo fulani watu wapige pesa.
 
Back
Top Bottom