Toothpick

Toothpick

The great R

Senior Member
Joined
Jun 7, 2011
Posts
142
Reaction score
37
Mama mmoja na familia yake baada ya chakula cha mchana akaauliza watoto wake,jamani mbona toothpick kila nikinunua zinaisha haraka? House gal akajibu,labda uwaulize wanao maana mimi kila nikimaliza kutumia huwa narudisha.
 
tunga za kwako mwana, we umekuwa mchina?kila kitu kukopiii tuuuu
 
I knew it,i just wana prove if u guys do read the posts,lol
 
nlitaka kujua kama mnasoma angalia vizuri kuna mtu kacomment ni kwamba hakusoma iliyopita
 
du hiyo kali, kuna mwingine alikuwa anakula kwa kudhani kuwa na chenyewe ni chakula
 
Mama mmoja na familia yake baada ya chakula cha mchana akaauliza watoto wake,jamani mbona toothpick kila nikinunua zinaisha haraka? House gal akajibu,labda uwaulize wanao maana mimi kila nikimaliza kutumia huwa narudisha.

Tooth Sticks= vijito vya meno!
 
du hiyo kali, kuna mwingine alikuwa anakula kwa kudhani kuwa na chenyewe ni chakula
Umenikumbusha jamaa fulani alitoka out na demu na alikuwa fedha kiduchu sana. Baada ya kuagiza mazagazaga kibao jamaa akagundua pesa imeshabalance, ikawa siri yake. Mwisho kabisa yule demu akamwita waiter na alipofika akamwagiza amletee toothpick 2, jamaa alikuwa hajui ni kitu gani akaanza kumwakia mpenzi wake, "mi hela yote nimeshamaliza kwa hizo toothpick zako utalipia mwenyewe". Alishangaa kuona wenzie wakimcheka!
 
Back
Top Bottom