1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Wadau naomba kujuzwaa hawa watu wa TAKUKURU, ni namna gani waendeshavyo shughuli zao? Imekuwa ni taasisi isiyo na meno bali ipo kama pambo, sina uhakika sana kama nitakua sahihi kwa ili nalotaka liweka hapa litahusiana na TAKUKURU, kama TAKUKURU hawahusiki basi naomba elimishwa juu ya taasisi ihusikayo na ili!
Hapa Morogoro ukumbi wa starehe wa Chilalakale kila mtu anaujua kutokana na ujenzi wake wa gharama sambamba na hotel ya gharama kubwa zinazojengwa kwenye milima ya uluguru, kuna minong'one mingi kua ukumbi huo na hotel hiyo ni za mtoto wa mkuu wa kaya/mkuu wa kaya mwenyewe, na minong'ono hiyo imepata nyama zaidi baada ya kijana mjasiri wa kupora mali Riz moja kuonekana mara kadhaha akiwa katika ukaguzi wa ujenzi wake unaoendelea!
Mbali ya ujenzi huo wa gharama za kupindukia unaohusisha hotel kubwa na ukumbi wa starehe vinavyojengwa maeneo mawili tofauti,pia kuna magari 14 yaliyoifadhiwa/kufichwa katika hotel hiyo huko milima ya Uluguru yakisubiri ufunguzi wa hotel nayo yaanze ku oparate!
Cha msingi hapa nachojaribu kujiuliza, je Takukuru haioni kua kuna umuhimu wa kumchunguza huyu anaejinasibu kumiliki hotel na ukumbi huo wa gharama kwa kua ni mtumishi wa umma? Je kipato chake hata kama amechukua mikopo kinaendana na ujenzi wa mabilioni ya pesa unaofanyika huko Moro?
Kipindi cha Mwl Nyerere huyu mtu alikua kishahojiwa zamani sana! Mmiliki anaejinisibu kua ndie mmiliki wa vitu hivyo anaitwa Malumbi ambae ni close friend wa mkuu wa kaya na pia ni mfanyakazi wa serikali!
Nia yangu si kupinga maendeleo yanayofanywa na mtu/watu hao bali ni uhalali wa kipato cha kuweza kufanya mambo hayo kwa wakati mmoja!
Hapa Morogoro ukumbi wa starehe wa Chilalakale kila mtu anaujua kutokana na ujenzi wake wa gharama sambamba na hotel ya gharama kubwa zinazojengwa kwenye milima ya uluguru, kuna minong'one mingi kua ukumbi huo na hotel hiyo ni za mtoto wa mkuu wa kaya/mkuu wa kaya mwenyewe, na minong'ono hiyo imepata nyama zaidi baada ya kijana mjasiri wa kupora mali Riz moja kuonekana mara kadhaha akiwa katika ukaguzi wa ujenzi wake unaoendelea!
Mbali ya ujenzi huo wa gharama za kupindukia unaohusisha hotel kubwa na ukumbi wa starehe vinavyojengwa maeneo mawili tofauti,pia kuna magari 14 yaliyoifadhiwa/kufichwa katika hotel hiyo huko milima ya Uluguru yakisubiri ufunguzi wa hotel nayo yaanze ku oparate!
Cha msingi hapa nachojaribu kujiuliza, je Takukuru haioni kua kuna umuhimu wa kumchunguza huyu anaejinasibu kumiliki hotel na ukumbi huo wa gharama kwa kua ni mtumishi wa umma? Je kipato chake hata kama amechukua mikopo kinaendana na ujenzi wa mabilioni ya pesa unaofanyika huko Moro?
Kipindi cha Mwl Nyerere huyu mtu alikua kishahojiwa zamani sana! Mmiliki anaejinisibu kua ndie mmiliki wa vitu hivyo anaitwa Malumbi ambae ni close friend wa mkuu wa kaya na pia ni mfanyakazi wa serikali!
Nia yangu si kupinga maendeleo yanayofanywa na mtu/watu hao bali ni uhalali wa kipato cha kuweza kufanya mambo hayo kwa wakati mmoja!