Toothless TAKUKURU?

Siyo kama pccb haifanyikazi hila mfumo uliyopo ndo unaofanya ionekane hvyo kua haifanyikazi hata hyo mnayosema inawezekana imeshafanyiwa kazi hila issue inakua kwa dpp kesi nyingi ndo zinakwama pale,kama vp toeni maoni ktk katiba mpya hili ipate nguvu zaidi ikiwezekana kesi zake zisipite kwa dpp muone kitakacho tokea.
 
Hii ndiyo ile taasisi ya kuzalisha na kuendeleza rushwa tanzania? Nasikia katika uchaguzi wa ccm uliopita maeneo mengine (mf Bukoba) wajumbe walihongwa elfu 50 na maofisa wa takukuru waliokuwepo laki 500

Mambo ya kusikia yanabaki kuwa ya kusikia, na ukweli jinsi ulivo utabakia kuwa kweli. Sasa tuambie wewe ulisikia ama huo ndo ukweli??
 
Siyo kama pccb haifanyikazi hila mfumo uliyopo ndo unaofanya ionekane hvyo kua haifanyikazi hata hyo mnayosema inawezekana imeshafanyiwa kazi hila issue inakua kwa dpp kesi nyingi ndo zinakwama pale,kama vp toeni maoni ktk katiba mpya hili ipate nguvu zaidi ikiwezekana kesi zake zisipite kwa dpp muone kitakacho tokea.

Ni sahihi kabisa,ili suala hata Hoseah aliwahi kulizungumzia!DPP anakwamisha kesi nyingi sana!
 
Mkuu nipo hapa kwenye hizo hotel zinazoitwa Chilakale,dah!haki ya Mungu hawa viongozi wetu wizi wa mchana namna hii sijui wanachojiamini ni nini,mimi nipo Chilakale ya Bigwa,ila wadau nilio nao wanadai kuna kama hii exactly huko Mzumbe!dah nchi inaibiwa mchana kweupe bila uoga
 
TAKUKURU ni moja ya mizigo ya kujitakia! Haina lolote inalofanya bora wangebaki polisi kama ilivyokuwa zamani. Ni kama ile wizara ya ushirikiano wa Afrika mashariki. Sasa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa inafanya kazi gani? au wizara ya maendeleo ya jamii wanawake na watoto. Ya nini wakati tayari kuna wizara ya afyya na USTAWI WA JAMII?! Ndiyo yale yale ya MKUKUTA, MKURABITA.... Any changes?!
 
Mkuu labda nikupe shule ktk hill, takukuru kazi zake ni kupambana NA mahakimu (wanaolpwa vibaya NA sio majaji wanaolpwa vizuri) matrafiki wanaolipwa la I mbili NA jua lote Lao, NA madaktari wanafanyia kwenye mazingira magumu a hatarishi kwa afya zao,NA watendaji WA mitaa NA vijiji,,,,,,,zaidi ya hapa takukuru hawashughuliki na watu wengine


Anaebisha aseme tumpe ushahidi
 
Hakuna anayeweza kupinga kuwa rushwa ni adui wa haki na kwamba rushwa imeota mizizi katika nchi yetu na pia TAKUKURU imeonesha ufanisi duni katika kushughulikia suala la rushwa - je nini kifanyike?
Walio ndani ya TAKUKURU wanadai kuwa uduni katika ufanisi wao unatokana na mambo yafuatayo
  • Wananchi kutotoa ushirikiano katika mapambano dhidi ya rushwa- kwa mfano kukwepa kutoa ushahidi mahakamani
  • TAKUKURU kutokuwa na mahakama zake na mahabusu zake
  • TAKUKURU kufanya kazi sambamba na jeshi la polisi
  • Na wanashauri kuwa TAKUKURU ikiwezekana isiwajibike moja kwa moja kwa serkali bali iwe chini ya mfumo wa Umoja wa mataifa
Wadau naleta kwenu mjadala huu
Karibuni
 
Back
Top Bottom