Too good for me???

Michelle

JF-Expert Member
Nov 16, 2010
7,621
3,514
Habari zenu wana MMU?

Mwenzenu nina changamoto nahitaji kujua kama nanyi pia mna/mmekutana nalo katika maisha ya urafiki na uhusiano na je mlitatua vipi? ili na mimi niweze kujiona sawa!!!

Hivi imewahi kukutokea umekutana na mtu akakupenda na wewe umempenda ila unaona kama hustahili kuwa nae? yaani kwa jinsi alivyo,unajisikia vibaya kuwa nae? kutokana na tabia,historia,mwenendo,mistakes ambazo umewahi kufanya,yaani unaona,i don't deserve this guy/girl....he is just too good for me!!!

Mimi kweli nikipata mwanaume mpole na mnyenyekevu napata shida sana,manake unaweza chukia ukamjibu vibaya yeye yuko tu anakuangalia na baadaye anakuweka chini kwa upole anakueleza tatizo......waga kinaniuma sana,to the extent nafikiri maybe i deserve mtu mkali na mkorofi kidogo.....au mwingine,anakusamehe ukikosea na anakuelewa mpaka unaona,this is too good to be true...na wale ambao unamwambia makosa ambayo unafikiri yatamfanya akukimbie (kama kuwa na mtoto) lakini bado tu yeye anakupenda.....!!!

Nitafurahi kusikia mawazo yenu!
 
mimi mpole ndio ninaempenda mimi,kwani ukali kwangu na mimi siwezi.ingawa watu wengine huwa wanasema mtu mpole anakuwa msiri,au wa chini chini. ila ni vizuri kujuana tabia ili isitokee usumbufu. s.times wengine mwanzo wana pretend tabia baadae unaona tabia yake sivyo ilivyokuwa mwanzo.unajiuliza ndie fulani huyu kweli?
 
mimi mpole ndio ninaempenda mimi,kwani ukali kwangu na mimi siwezi.ingawa watu wengine huwa wanasema mtu mpole anakuwa msiri,au wa chini chini. ila ni vizuri kujuana tabia ili isitokee usumbufu. s.times wengine mwanzo wana pretend tabia baadae unaona tabia yake sivyo ilivyokuwa mwanzo.unajiuliza ndie fulani huyu kweli?

kumbe wakali tupo,sasa nataka kujua,waga unajisikia vibaya,kuona kama vile unamuonea au lah?
 
Learn how to forgive urself. If Jesus could die on the cross for u, nobody is too good for u gal! ukiwa karibu na mtu mwema anakufundisha ww kuwa a better person. Badilika,na ww jifunze kuwachukulia wengine kama unavyopenda kufanyiwa ww. U can be the change u wanna see around the world!
 
kwa uzoefu wangu, watu wengine huwa wanalilia kuwa na bahati kama uliyonayo. ama kweli kwenye miti mingi hakuna wajenzi. Ushauri, unatakiwa ujifunze kuwa kama yeye na kizuri zaidi unajua weakness nako ni rahisi sana kuisha maisha ya furaha na huyo mwenzio.
 
Wanawake huwa mnawapenda bad boys mtu akiwa perfect sana anaonekana hajui mapenzi!

he he he he,hakuna aliye perfect,tatizo hao bad boys hawana label au nembo usoni,kwa hiyo si kila wakati tunawajua na kuwa nao....!!
kwakuwa suala la kujua au kutokujua mapenzi ni relative kwa kila mtu siwezi kulijibia,mi nafikiri good boys wana mapenzi zaidi....!!
 
kwa jinsi ulivyotuelezea nadhani ukimpata mpole hamtadumu. You need someone who's outspoken and not necessarily he has to be a bad boy or a thug.
Good luck!.
 
Learn how to forgive urself. If Jesus could die on the cross for u, nobody is too good for u gal! ukiwa karibu na mtu mwema anakufundisha ww kuwa a better person. Badilika,na ww jifunze kuwachukulia wengine kama unavyopenda kufanyiwa ww. U can be the change u wanna see around the world!

Thank you dear, najitahidi sana kuwafanyia kama navyopenda kufanyiwa,though kama binadamu siwezi kumtendea mtu perfectly kama atakavyo,na hili ndo linaniumiza,hasa pale unapoona mtu anakutendea tu mema,anakosea mara moja moja sana....i want to be myself and sometimes when am myself,i end up offending someone!!
 
Nakuskitikia kidogo kwa kuwa umeathiliwa kisaokolojia kwa namana moja au nyingine. Cha muhimu jitambue unapendwa katika viwango ambavyo haviko katika vipimo. pia nahisi kama malezi lauliyokulia yaweza kuwa yamekufikisha hapo ulipo. Cha muhimu chukulina naye na usimuonyeshee dharau yoyote. Jua kuwa una bahati sana kwa kupendwa namna hiyoooooooooo
 
kwa uzoefu wangu, watu wengine huwa wanalilia kuwa na bahati kama uliyonayo. ama kweli kwenye miti mingi hakuna wajenzi. Ushauri, unatakiwa ujifunze kuwa kama yeye na kizuri zaidi unajua weakness nako ni rahisi sana kuisha maisha ya furaha na huyo mwenzio.

Asante sana,Nakubaliana na ushauri wako na nitautekeleza.....!!
 
kwa jinsi ulivyotuelezea nadhani ukimpata mpole hamtadumu. You need someone who's outspoken and not necessarily he has to be a bad boy or a thug.
Good luck!.

God Forbid....i do not deserve a bad boy nor a thug...nisingekuwa najiuliza maswali hayo ningekuwa nastahili hayo....kwa rehema za Mungu nitadumu tu wala sina hofu....ni ile tu kujiskia vibaya kwa kuwa sina standard alizonazo mtu nimependaye!!:dance:
 
he he he he,hakuna aliye perfect,tatizo hao bad boys hawana label au nembo usoni,kwa hiyo si kila wakati tunawajua na kuwa nao....!!
kwakuwa suala la kujua au kutokujua mapenzi ni relative kwa kila mtu siwezi kulijibia,mi nafikiri good boys wana mapenzi zaidi....!!

nice guys ndo wanaongoza kufinish last na kutendwa madem ila bad boys hakukei ,depends on you still unafall sana idont knw wat kind of chemistry they creat but u love them.men wakorofi huwa haawachwi kirahisi kuna mvuto flani wanao kwenu
 
Nakuskitikia kidogo kwa kuwa umeathiliwa kisaokolojia kwa namana moja au nyingine. Cha muhimu jitambue unapendwa katika viwango ambavyo haviko katika vipimo. pia nahisi kama malezi lauliyokulia yaweza kuwa yamekufikisha hapo ulipo. Cha muhimu chukulina naye na usimuonyeshee dharau yoyote. Jua kuwa una bahati sana kwa kupendwa namna hiyoooooooooo

nami nafikiri hivyo pia(hapo red)....hapo pink,nashukuru kwa ushauri mzuri!!
 
Dearest are you inlove???

BtT....it does happen.Hata kama hukua na mambo ya ajabu huko nyuma kitendo cha kupata tu mtu ambae kila kitu anajaribu kuelewa na kukuelekeza taratibu wakati we ni mkali kunatosha kukufanya ujusikie vibaya.Hii yote inatokea pale unapolinganisha jinsi wewe unavyodeal na mambo na jinsi anavyodeal nayo yeye.Kosa hilo hilo we unaweza ukareact tofauti na ambavyo yeye ange/anareact!Muhimu ni kutomuonea kwa makusudi...usijibadili wewe kama ulivyo maana ukali wako ni moja ya quality zinazokutengeneza wewe...kwahiyo ni kiasi tu cha kutokua mwonevu.That way hata ukimgombeza/semesha kwa ukali kama anastahili huwezi feel guilty because it has to be done.

Binafsi nipo kama wewe...naweza kumsema mtu alafu baadae naanza kumuonea huruma.Hata kama alikosea nabembeleza mimi!!
 
nice guys ndo wanaongoza kufinish last na kutendwa madem ila bad boys hakukei ,depends on you still unafall sana idont knw wat kind of chemistry they creat but u love them.men wakorofi huwa haawachwi kirahisi kuna mvuto flani wanao kwenu

he he he he mwanamme hawezi kuni care wa nini sasa? kabaki mwenyewe duniani? for God's sake,hao ni watu walioko desperate,siwezi kuishi kwa kunyanyaswa hata kwa siku moja hata kama nampenda mtu kiasi gani....!
 
Dearest are you inlove???

BtT....it does happen.Hata kama hukua na mambo ya ajabu huko nyuma kitendo cha kupata tu mtu ambae kila kitu anajaribu kuelewa na kukuelekeza taratibu wakati we ni mkali kunatosha kukufanya ujusikie vibaya.Hii yote inatokea pale unapolinganisha jinsi wewe unavyodeal na mambo na jinsi anavyodeal nayo yeye.Kosa hilo hilo we unaweza ukareact tofauti na ambavyo yeye ange/anareact!Muhimu ni kutomuonea kwa makusudi...usijibadili wewe kama ulivyo maana ukali wako ni moja ya quality zinazokutengeneza wewe...kwahiyo ni kiasi tu cha kutokua mwonevu.That way hata ukimgombeza/semesha kwa ukali kama anastahili huwezi feel guilty because it has to be done.

Binafsi nipo kama wewe...naweza kumsema mtu alafu baadae naanza kumuonea huruma.Hata kama alikosea nabembeleza mimi!!

am i in love??? maybe dearest!!!

Umenisaidia sana dearest,its like umenielzea nilivyo na ninavyojisikia,atleast kuna binadamu kama mimi....manake naona kila siku hii kitu inanisumbua, na inanifanya niji controll sana mpaka naboreka....at least naweza elewa hii huruma ni ya kawaida kabisa,he he he....kubembeleza ndo sijui? siku unabembeleza niite dearest nipate somo.....l.o.l:A S-rose:
 
Michelle dear, no one needs to feel that way, hizi ni means tu tunazogenerate kujishusha comfo na kukosa kujiamini.... How the hell do you know huyo mtu pamoja na upole wake alikuaje kabla??

Just feel gud and be gud, and confidence will be there
 
.........my hubby mpole, mtulivu yaani ni mtu asiyependa makuuu, jinsi tabia yangu ilivyokuwa nilijiona kabisa sistahili kuwa naye. Maana mimi nilikuwa mapepe sana.......muda mwingine nilikuwa nakosea lakini najifanya najua, basi ataongea kwa upole hadi najisikia vibaya. Ila siku hizi nimebadilika sana na mie nimekuwa mpole kiaina.

Hivyo mie nadhani hata kama wewe Michelle mkali lakini ukipata mume mpole nawe itafikia kipindi utakuwa mpole tu.
 
Michelle dear, no one needs to feel that way, hizi ni means tu tunazogenerate kujishusha comfo na kukosa kujiamini.... How the hell do you know huyo mtu pamoja na upole wake alikuaje kabla??

Just feel gud and be gud, and confidence will be there

Thank you....i agree siwezi jua mtu alivyokuwa huko nyuma,ila tu kuna vitu vinatokea hata mkiwa pamoja,kama kukasirika na kuwa mkali mpaka basi,halafu later unaanza kujisikia vibaya....i feel gud and am gud MTM,ni ile tu kutaka kuwa kama huyo nayemuona perfect!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom