Tokea nianze kusoma sijawahi kufaulu

Tokea nianze kusoma sijawahi kufaulu

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,402
Tokea nianze kusoma sijawah kufaulu, nlikuwa nafaulu vizuri strd 1 mpk 3 baada ya hpo sijawahi kufaulu tena nipo grade 9, spendi kabsa kusoma wazazi wananlazmisha wanataka niwe daktari, wanajua uwezo huo sana lakini bado wananlazmisha mwenywe nataka niwe model. Niliwahi kumwambia ivyo maana, hakunijbu kitu lakini anaendelea kusema anataka nwe daktari. kwanini wazazi mnapenda kulazimisha watoto?
 
Kwanini usiweze si ni kwamba hutaki unataka huo umodoo sijui na umodo gani wenye mafanikio bila elimu??? Msikilize mzazi hiyo utakuja kufanya kama ajira ya pili. Sasa kuwa mkahidi baadae uje usemee ooh mimi mzazi wangu hakuniandalia msingi mzr.
 
Wewe now una miaka mingapi?
ukiwa modal ndo inakuaje?
unamjua model gani Tanzania na analipwa sh ngapi kwa mwezi

wazazi wako wanakosea kukulazimisha kitu hupendi na huwezi
na wewe unajidanganya kuwa Tanzania kuna fani mtu analipwa inaitwa model
utaishia kufanya ukahaba tu ...hao ma designer wengi ni makuwadi tu wa wadada
hao wengine kina Masogange i am sure unajua biashara wanazofanya...

Hutaki kuwa daktari basi anza kufikiri fani ya ukweli utakayotumia akili yako
kujipatia kipato halali.....

sio ujifanye model uishie kubebeshwa madawa na kujiuza kwa madeshee
 
Wewe acha upuuzi!!
Nenda shule hata kama sio daktari kuna mengine yakufanya
Modeling ni mahangaiko tu
 
Mkuu boss, umenena ashindwe mwenyewe kuchukua ushauri murua!
 
Wewe now una miaka mingapi?
ukiwa modal ndo inakuaje?
unamjua model gani Tanzania na analipwa sh ngapi kwa mwezi

wazazi wako wanakosea kukulazimisha kitu hupendi na huwezi
na wewe unajidanganya kuwa Tanzania kuna fani mtu analipwa inaitwa model
utaishia kufanya ukahaba tu ...hao ma designer wengi ni makuwadi tu wa wadada
hao wengine kina Masogange i am sure unajua biashara wanazofanya...

Hutaki kuwa daktari basi anza kufikiri fani ya ukweli utakayotumia akili yako
kujipatia kipato halali.....

sio ujifanye model uishie kubebeshwa madawa na kujiuza kwa madeshee

Mkuu ni mapedesheee.... hahaa best anataka kuwa Model Duh..!
 
aiseeee hebu ni pm ili nifanikishe malengo yako tafadhali
 
Model ndo nn sasa ungekuwepo Europe sawa Tz hii unataka kazi hiyoo soma ww acha ujinga bas tafuta hata fani nyengine sio hiyoo
 
The Boss umepoteza nguvu na wino wako bureeee kwa kumshauri uyu mtu maana hadithi zake ni chai tupu nadhani anatafuta kutengeneza utambulisho JF nakushauri kariri ID yake usisumbuke tena.
 
Last edited by a moderator:
bebii njoo kwangu mimi ni designer mkali hapa town naweza kukuunganisha na agency za south africa na marekani, hata yule flaviana matata alipitia kwangu and now she is doing great, nipm namba yako au ukiweza njoo mitaa ya k'ndoni studio ndio kuna ofisi yangu,
usiwasikilize wazazi follow your heart baby everyone got a dream!!
 
Kumbe mamodel ni wale wote ambao shule imewashimda eeeh... Ndio nimefahamu leo hiyo kitu...
 
Vipi kuhusu suala la kuolewa ushawahi pia kumgusia maa?
 
Mfollow huyo dada utajifunza kitu pia
 

Attachments

  • 1443815274020.jpg
    1443815274020.jpg
    20.1 KB · Views: 263

Similar Discussions

Back
Top Bottom