Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 328
- 1,209
Pengine ni ushamba wangu au kukosa exposure, lakini tangu nizaliwe sijawahi kuona kijiwe cha kahawa kinachokaliwa na wakina mama (wanawake).
Tumezoea muda mwingi kama sio muda wote vijiwe vya kahawa ni akina baba huku wakiendelea na mijadala mbalimbali.
Wenzangu vipi mshawahi kukiona?
Tumezoea muda mwingi kama sio muda wote vijiwe vya kahawa ni akina baba huku wakiendelea na mijadala mbalimbali.
Wenzangu vipi mshawahi kukiona?