korea kaskazini
Senior Member
- Feb 26, 2014
- 122
- 24
Eti mtutsi?
hapana sio upareni, ni Dodoma.
Huyu kamanda wa kitu gani bana?
Kaka Pasco huyo kabakiza miezi michache tu. Usiumie roho. Anza kupiga jaramba nywele nyeupe zikiingia mjengoni tu, utakuwa unaandika hadi hotuba za wazee wa DarisalamaJamaa yuko fit sana!, JK atatoa hotuba bora zaidi, kama JK mwenyewe, hataongeza ya kwake mengi zaidi!.
Pasco
Huyu Mavura ni Mpare uteuzi wake umewezekana kwasababu Katibu Mkuu Kiongozi ni Mpare mwenzake ebo au unajifanya hujui ukabila upo kila mahali.
togolani ni kijana shupavu na mweledi. Namuomba asipate vijipu vya kwapani kama watangulizi wake ambao hata salaam tu ni shida!!! Hongera kamanda.
I doubt huyu ni mtutsi aisee!
Yuko fit kwa lipi acheni uongo wenu, huyu Alimasi za UDSM bachelor yake ya PS& PA mwaka 2005 , alipata GPA ya 2.3 , huo ndio ufit? ALipewa kazi wizarani kwa kuwa baba yake Mzazi alikuwa BALOZI wa Tanzania , so alone bwana baba , sasa naona Jk kaamua kumbeba naye huyu, hana hata taaluma ya uandishi wa habari.......do I say more? Alivyokuwa Udsm akiishi Mabino hostel .........
Havache Sifue,vathu iki tuho vangi hena position!keep it up