Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,258
- 2,572
Uko kama mimi Dar sipapendi hata kidogo kabisa.Kuishi mkoani raha sana asikwambie mtu, kwanza wakzi wengi wa Dar hata milo 3 waliowengi hua cheche tu, wengi wanapiga pasi ndefu and this include wafanyakazi; kwao wao hakuna tofauti ya mwezi wa Ramadhani na miezi mingine (nimesema walio wengi, sio wote). Kwa kweli Dar hapana, Maisha ipo mikoani.
Haa ha ha ha, nyie mmenichekesha!