Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
Hapana. Mimi nilikuwa na nidhamu sana. Dada yangu mkubwa huwa ananiambia yaani ulivyokuwa mdogo ulikuwa mpole, mcheshi na mkarimu sikutegemea ukiwa mkubwa utakuwa hiviacha kusingizia watoto wa siku hizi kumbuka vizuri tu hata wewe ulikua hivyo zamani.