Tofauti ya wanaume na wavulana.......kitabia...

1.Mvulana atatembea na msichana bila kinga,halafu akiletewa taarifa ya mimba,ataruka
na kukimbia....Mwanaume atajadili na huyo msichana nini kifanyike.....

2.Atamuacha mkewe ambae hana kazi wala biashara bila matumizi ya kutosha..
halafu ataanzisha ugomvi mkubwa akihisi mkewe 'anatoka nje'....Mwanaume atapigania
mahitaji ya mkewe na watoto kwanza kabla ya kuanza 'kuunguruma'nyumbani..

3.Mvulana akipata mshahara moja kwa moja bar na atarudi nyumbani kesho yake....
Mwanaume ataingia bar pale anapoona hali inaruhusu tu...

4.Mvulana atashangaa 'kudondokewa na kuzimikiwa na mwanamke'
Mwanaume hushangaa kumtongoza mwanamke na 'kumkosa'

5.Mvulana akimnunulia bia mwanamke lazima 'alipwe'
Mwanaume huwa hadai 'malipo' kwa kumpa bia au favour mwanamke
but anaweza tu kukataa akiona sio lazima..

6.Mwanaume hujali zaidi 'heshima' yake....
Mvulana hujali zaidi 'tamaa' yake....

7.Mvulana hupiga kelele au kuguna guna au kutoa sauti au kubadilika tabia
akiona 'mrembo ' kaingia au anapita karibu...
Mwanaume hujifanya hajaona kitu,sana sana akiamua 'huchukua hatua'
muafaka....kimya kimya...

8.M wanaume hukubali kukosa kama gharama za kupata ni kubwa mno...
Mvulana hung'ang'ania 'apate' hata kama gharama 'zitamuumiza' ...

9. Mwanaume huwa 'anajifunza 'kila siku
Mvulana huamini 'anajua' yote...

10. Mwanaume hufikiria maisha kwa ujumla na 'future' ya watoto...
Mvulana anafikiria pamba,magari,warembo 24/7......


Mengine mnaweza kuongezea.......wanasema kuna 'mvulana' kwa kila mwanaume
but wengine huwa wanabaki kuwa 'wavulana' milele.........lol......

ANGALIZO= HAPA NAZUNGUMZIA WATU MNAOFAHAMIANA TAYARI SIO ONLINE PEOPLE AMBAO HUJAKUTANA NAO
NA UANZE KU WA JUDGE KWA POST TU ZA HUMU...

Duh!kweli kuna tofauti
 
Asante naongeza .mvulana akienda na mwanamke atakuja kusimulia kila kitu hata rangi ya nguo ya ndani.Wakati mwanaume atayameza yote yaliyotokea mlipokuwa wawili.
 
The Boss lakini hata na sisi wanaume tulipitia kwenye uvulana. huwezi kuwa mwanaume biula kupitia uvulana
 
Sijui nani atatupa tofauti ya msichana na mwanamke. Mi naanza na moja, msichana kwa mizinga anaongoza, ila mwanamke hakupigi mzinga wa kifedha
 
Msichana akinogewa anachonga mzinga/michecheto kila muda,mara beeps,ngongongo za kila muda,mwanamke anachukulia sitaki nataka kinidhamu!
 
ANGALIZO= HAPA NAZUNGUMZIA WATU MNAOFAHAMIANA TAYARI SIO ONLINE PEOPLE AMBAO HUJAKUTANA NAO
NA UANZE KU WA JUDGE KWA POST TU ZA HUMU...

hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
ANGALIZO= HAPA NAZUNGUMZIA WATU MNAOFAHAMIANA TAYARI SIO ONLINE PEOPLE AMBAO HUJAKUTANA NAO
NA UANZE KU WA JUDGE KWA POST TU ZA HUMU...

hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa



hahaha.... Kwani jamvini sio watu.... Mbona mie nimeobserve a lot of wavulanas in the men....lol (thou niwachache)
 
hapo uliposema kuna wengine watabaki kuwa wavulanaaaaaaaa milele ni balaa ngoja nimsome huyu wa kwangu yupo kiumeni ngapi na kivulana ngapi? kama sio mwanaume nampiga chini

mchek fresh km kifaa kipo poa.wengne wamekosa UULANA.UANAUME ATA KIFAA PIA HAWANA
 
Back
Top Bottom