Mwizi ambaye si msomi huiba vitu kama mafuta ya jenereta, vifaa vidogo vidogo vilivyo ndani ya gari kama laptop, simu. ipod n.k. Mwizi huyu ambaye si msomi akijitahidi sana kuiba kitu kikubwa ataiba gari! Kwa upande wa pili mwizi ambaye ni msomi yeye haibi vitu kama mafuta ya jenereta, ataiba umeme na kuisababishia nchi nzima kuwa giza, na pia hawezi kusumbuka kuiba vitu kama gari, yeye ataiba barabara na kuwaachia wananchi vumbi na mashimo!!!!!