nzedanze
Member
- Jul 13, 2011
- 44
- 1
Wanajamii nawasalimu kwa jina la Mungu aliye hai....mimi kunakitu hua kinanisumbua eti kwa kawaida mnatakiwa kutofautiana kivipi katika umri kati ya mke na mme maana utakuta wengine wanasema oooh kaoa mtoto wengine hoo kaoa mzee naajabu utasikia oooo wanalingana umri mwanamke atamzeekea ...naomba mchango wenu maana na mm ndo naelekea kwenye maandalizi ya ndoa