thatone
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 365
- 196
Habari wana JF,,
Kumekuwa na utata katika kutofautisha haya mambo mawili yaani kupenda na kutamani kwa sababu mtu anaeza kuact anakupenda kumbe amekutamani na mwingine ukahisi ametamani kumbe anamapenzi ya dhati..
Na acting ndo chanzo cha kushindwa kutambua which is which..JUST I WANNA KNOW for the future[emoji108] #Totally confuced
Kumekuwa na utata katika kutofautisha haya mambo mawili yaani kupenda na kutamani kwa sababu mtu anaeza kuact anakupenda kumbe amekutamani na mwingine ukahisi ametamani kumbe anamapenzi ya dhati..
Na acting ndo chanzo cha kushindwa kutambua which is which..JUST I WANNA KNOW for the future[emoji108] #Totally confuced