Tofauti ya kupendana na kutamaniana

Tofauti ya kupendana na kutamaniana

thatone

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2019
Posts
365
Reaction score
196
Habari wana JF,,
Kumekuwa na utata katika kutofautisha haya mambo mawili yaani kupenda na kutamani kwa sababu mtu anaeza kuact anakupenda kumbe amekutamani na mwingine ukahisi ametamani kumbe anamapenzi ya dhati..

Na acting ndo chanzo cha kushindwa kutambua which is which..JUST I WANNA KNOW for the future[emoji108] #Totally confuced
 
Habari wana JF,,
Kumekuwa na utata katika kutofautisha haya mambo mawili yaani kupenda na kutamani kwa sababu mtu anaeza kuact anakupenda kumbe amekutamani na mwingine ukahisi ametamani kumbe anamapenzi ya dhati..Na acting ndo chanzo cha kushindwa kutambua which is which....JUST I WANNA KNOW for the future[emoji108] #Totally confuced
Hebu kwanza...

Wewe ulishawahi kupenda? Je ulishawahi kutamani??

Kama majibu yako ni ndio hebu tupe uzoefu wako kidogo

Mi kauzoefu kangu ka uzeeni... ni kwamba naweza kumpenda mama yangu, dada yangu, bibi yangu, shangazi yangu na binti yangu.... Hawa kamwe siwezi kuwatamani.

Mke wangu, michepuko yangu, mabaamedi, mabinti wafanyakazi wenzangu... hawa naweza kuwatamani na kuwapenda pia.

Yaani mtu unayempenda huwezi kumtamani lakini unayemtamani unaweza kumpenda

Kwamfano kama wewe ni SHE ujue nshakutamani tayari, unaweza kuja PM ili tupange mikakati ya kupendana mazima
 
Hebu kwanza...

Wewe ulishawahi kupenda? Je ulishawahi kutamani??

Kama majibu yako ni ndio hebu tupe uzoefu wako kidogo

Mi kauzoefu kangu ka uzeeni... ni kwamba naweza kumpenda mama yangu, dada yangu, bibi yangu, shangazi yangu na binti yangu.... Hawa kamwe siwezi kuwatamani.

Mke wangu, michepuko yangu, mabaamedi, mabinti wafanyakazi wenzangu... hawa naweza kuwatamani na kuwapenda pia.

Yaani mtu unayempenda huwezi kumtamani lakini unayemtamani unaweza kumpenda

Kwamfano kama wewe ni SHE ujue nshakutamani tayari, unaweza kuja PM ili tupange mikakati ya kupendana mazima
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Habari wana JF,,
Kumekuwa na utata katika kutofautisha haya mambo mawili yaani kupenda na kutamani kwa sababu mtu anaeza kuact anakupenda kumbe amekutamani na mwingine ukahisi ametamani kumbe anamapenzi ya dhati..

Na acting ndo chanzo cha kushindwa kutambua which is which..JUST I WANNA KNOW for the future[emoji108] #Totally confused
 
upendo haubadiliki hudumu milele,maana ake kujitoa asilimia mia, yaani totally sacrifing ur self for something, upendo ni hitaji huwezi progress without t
tamaa ni hitaji la muda kwa jili ya kukidhi aja zako
tamaa hupelekea upendo, kivip ni pale tamaa inapokua mazoea then mwishoni tamaa inapelekea uhitaji la kile kitu .
kamwe upendo hauezi kua tamaa.but tamaa yaeza kua upendo
 
upendo haubadiliki hudumu milele,maana ake kujitoa asilimia mia, yaani totally sacrifing ur self for something, upendo ni hitaji huwezi progress without t
tamaa ni hitaji la muda kwa jili ya kukidhi aja zako
tamaa hupelekea upendo, kivip ni pale tamaa inapokua mazoea then mwishoni tamaa inapelekea uhitaji la kile kitu .
kamwe upendo hauezi kua tamaa.but tamaa yaeza kua upendo
Fact
 
Back
Top Bottom