Tofauti ya Dini katika mapenzi

Kwangu mie nikipendana na wa dini tofauti na yangu nabadili tu kwa ajili yake kama akitaka

Huwa naamini Mungu ni mmoja
Mungu wa waislam na Mungu wa wakristo na mungu wa budha sio sawa,usijitoe ufahamu kisa ndoa
 
Kuna watu wazima hawataki kutumia Ubongo wao kabisa,wao akili zao zote wameziweka kwenye maandishi ya Dini mwisho wa siku wanaonekana Kama kituko fulani hivi kwa Jamii!!
 
Kuna watu wazima hawataki kutumia Ubongo wao kabisa,wao akili zao zote wameziweka kwenye maandishi ya Dini mwisho wa siku wanaonekana Kama kituko fulani hivi kwa Jamii!!
Kwaiyo...kushikilia msimamo wa dini nikuwa kituko katika jamii... BASI NA IWE HIVYO
 
Sio kuwafurahisha wazazi... Bali Ni imani yangu Mimi binafsi hainiruhusu.....Mafundisho yangu yangu ya dini yanakataza
 
Kwani unamfuata Mungu yupi anayeruhusu zinaa?
 
Don't compromise your faith for any thing.
Religion first always and forever.
BTW hakuna ndoa ya muislamu na mkristo.
 
Nyenyere tunakujua wewe Ni mtu wa Mungu..Hebu tuambie huko kwenye wokovu Ni ukamilifu?..Huko kwenye kumjua Mungu Ni kwa watakatifu?

Maana ya kutubu Ni Nini?..Usipende Sana kuona boriti za wenzanko.
 
Don't compromise your faith for any thing.
Religion first always and forever.
BTW hakuna ndoa ya muislamu na mkristo.
Hapa ndo huwa tunakosea..family is always first

Huo ujinga wa religion first Ndomaana baadhi ya dini baba anamuua mtoto wake kisa ameacha dini...madness and barbarianism
 
Well said mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…