Tofauti ya Dini katika mapenzi

Tofauti ya Dini katika mapenzi

Kwaiyo...kushikilia msimamo wa dini nikuwa kituko katika jamii... BASI NA IWE HIVYO
Hukatazwi kushikilia Msimamo wako wa Dini,ila jaribu pia kushirikisha Akili yako uliyopewa na Mungu wako katika Mambo ya Maisha yako!!
 
Hapa ndo huwa tunakosea..family is always first

Huo ujinga wa religion first Ndomaana baadhi ya dini baba anamuua mtoto wake kisa ameacha dini...madness and barbarianism
What I believe is that :

*Vitu vyote viko kwa mungu (Ndoa, mafanikio, ajira, afya n. k)

*Vilivyopo kwa mungu hupatikana kupitia utii wake. Ova!!!!!
 
Kila nilipokua nikifikiria malezi ya watoto, khali ya kua mimi na yeye tuu tuna tofauti kubwa katika malezi nikaamua kujitoa mihanga shaaa
Nilimuacha na nikamwambia sababu ya tofauti zetu za kiimani, mimi na wewe hatuwezi kuendelea

Namuonea huruma , ila imebd
 
Kila nilipokua nikifikiria malezi ya watoto, khali ya kua mimi na yeye tuu tuna tofauti kubwa katika malezi nikaamua kujitoa mihanga shaaa
Nilimuacha na nikamwambia sababu ya tofauti zetu za kiimani, mimi na wewe hatuwezi kuendelea

Namuonea huruma , ila imebd
Naomba 2sex
 
Daah wakuu huo mtihani na mimi umenikuta mimi muislam mpenzi wangu mkristo tunapishana apo katika dini yeye anataka mimi nibadili na mimi nataka yeye abadili mwisho kaomba tufunge ndoa ya serikali mimi nikamjibu serikali ni kama tunazini tu na watoto tunawagawa na najiona nitakosa haki ya kuwa na watoto wangu maana yeye atawapa maneno mabaya kuhusu mimi na dini yangu mwisho waamie kwake mnishauri wakuu je nimove on maana nimetumia kila aina ya ushawishi lakini hataki.
 
Back
Top Bottom