Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 7,262
- 12,619
I was young..na hiyo ilikuwa kabla moyo wangu kunasa kwako.....kwenye bandiko lako ulisema hiyo Sio highest high
sikujua kama kumbe nahitaji Analyis ya credits zangu
I was young..na hiyo ilikuwa kabla moyo wangu kunasa kwako.....kwenye bandiko lako ulisema hiyo Sio highest high
Hukatazwi kushikilia Msimamo wako wa Dini,ila jaribu pia kushirikisha Akili yako uliyopewa na Mungu wako katika Mambo ya Maisha yako!!Kwaiyo...kushikilia msimamo wa dini nikuwa kituko katika jamii... BASI NA IWE HIVYO
What I believe is that :Hapa ndo huwa tunakosea..family is always first
Huo ujinga wa religion first Ndomaana baadhi ya dini baba anamuua mtoto wake kisa ameacha dini...madness and barbarianism
Naomba 2sexKila nilipokua nikifikiria malezi ya watoto, khali ya kua mimi na yeye tuu tuna tofauti kubwa katika malezi nikaamua kujitoa mihanga shaaa
Nilimuacha na nikamwambia sababu ya tofauti zetu za kiimani, mimi na wewe hatuwezi kuendelea
Namuonea huruma , ila imebd
😀😀 njoo 2sexNaomba 2sex