Tofauti kati ya fedha na utajiri

Tofauti kati ya fedha na utajiri

Je njia ipi ni rahisi ya kupata utajiri wa haraka na haki?


  • Total voters
    6

Mchawi_mweupe

Member
Joined
Jul 31, 2025
Posts
9
Reaction score
22
Utangulizi
Watu wengi wanachanganya fedha na utajiri wakifikiria ni kitu kimoja,lakin ukwel ni kwamba mtu anaweza kuwa na fedha lakin asiwe tajiri.

Tofauti kati ya fedha na utajiri
Fedha ni kiasi cha pesa mtu ambacho anatumia kila siku kwa mahitaji mbalimbal,lakin utajiri ni jumla ya vitu vyote vyenye thaman mtu anavyomiliki mfano nyumba,aridhi,ujuzi na fedha pia.

Mfano. Mkulima mwenye hekari 10 za shamba anaweza asiwe na fedha mkonon ila akawa na utajiri wa kudumu kwa sababu shamba hilo linaweza mzalishia mda wowote .Tuwekeze kwenye kutafuta utajiri
 
Screenshot_20250828-231012.png
 
Rich dad poor dad na The millionaire next door ni vitabu vinavyodadavua kwa upana kuhusu mada hiyo, ukweli ni kwamba watu wengi wanafikiri kuwa katika mfumo unaowapa pesa nyingi kiasi cha kununua vitu vya thamani ni utajiri
Wengi wetu tunapenda kununua vitu vinavyo onyesha characteristics of utajiri lakini kusema ukweli hatuna utajiri,
Tajiri hawezi kustrudlggle vitu vidogo kama vile garama ya kuendesha ofisi, mahitaji ya familia eg ada za shule, garama za sherehe kqma ndoa, kununua vitu vya thamani kama gari, nyumba kukosa uwezo wa kusaidia ndugu jamaa au ndugu, kuanzisha project kwa lengo la kusaidia jamiii au kukiburudisha, kupata muda wa kupumzika na kuwa na uhusiano mzuri na jamii
 

Attachments

  • Screenshot_20250828-230831.png
    Screenshot_20250828-230831.png
    641.9 KB · Views: 19
  • Screenshot_20250828-231012.png
    Screenshot_20250828-231012.png
    620.4 KB · Views: 18
Back
Top Bottom