inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,982
- 18,271
Miaka ya 70 kipindi Hilo pambano linafanyika alikua bado ni asset ya marekaniCIA watakuona wafaida na kukufanya rafiki pindi watakapoona una maslahi kwao lakini maslahi yao yanapoisha au kutekelezwa wanakugeuza kuwa adui yao. Na ndio hivo hivo yalivyomtokea mobutu
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app